Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Toka kitambo Kaka nilipo Mimi basi hiko kibegi kipo , Razorblade anaita anatumia Babu mpaka mjukuu 😂
😃😃😃Siku tutakuja tuliibe😃
GT4NGmxWEAAj-9x.jpeg
 
Kwenye huu uzi bila kuwa mchawi mchawi au element za umbea utaishia kuona text useless. Halafu unatakiwa kuwa mkimya ili usiharibu mipanga ya wanaotaka kupita naked 🙌.
Kulikuwa na uzi Jf wa kupita naked , Uzi Maalumu wa kutuma picha halisi humo members wengi waliruka live bila kufuta mpka nikawa siamini muanzisha Uzi alitumia dawa gani ?

Na Mimi humo niliruka live naked picha mbili , ikapita kama miezi hivi nikapata nikaurudia ule uzi nikafuta picha zangu zote 😂
 
Kulikuwa na uzi Jf wa kupita naked , Uzi Maalumu wa kutuma picha halisi humo members wengi waliruka live bila kufuta mpka nikawa siamini muanzisha Uzi alitumia dawa gani ?

Na Mimi humo niliruka live naked picha mbili , ikapita kama miezi hivi nikapata nikaurudia ule uzi nikafuta picha zangu zote 😂
Hebu nitag huo uzi kwanza..🤭
 
Back
Top Bottom