Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,201
Hivi ulishawahi kuweka picha mpendwa kwenye uzi huu.😀😀 ukiweka ya 11 naomba uni-mention
Hivi ulishawahi kuweka picha mpendwa kwenye uzi huu.😀😀 ukiweka ya 11 naomba uni-mention
Haina noma 😂😂😂😂Kweli kabisa
MTC | 101|![]()
Hivi ulishawahi kuweka picha mpendwa kwenye uzi huu.
Ile sio wewe naamini hivyoNshawekaga nyingi au niweke tena
Daah weekend hii nimepoa sana kuna mtu nimemkorofisha jana usiku kanisachi kakuta zana zimebaki 2, nnaamka asubhi simuoni kabeba funguo za gari, wallet, card za bank, vitambulisho, fedha za dharura na mtoto katokomea kwao ukisikia kizaa zaa ndio hiki 🥃
Embu nishaurini wadau View attachment 1291584



woii halafu unajua tukija kwenye takwimu yawezekana kweli mimi ndiye ninayeongoza kwa comments nyingi kwenye ule uzi,, daah hadi nimejishitukia sasa..
Halafu wewe ndio mwanzilishi...Labda wamekuona unatoa koment nyingi sana kule wameamua kukuzawadia kabisaaaa uzi mzima![]()
Mke wako au



Ile picha niliwahi kuiona mahali.Kwa nini
Chanzo cha ugomvi wao ni nini?Kuna mwana nimekutana nae hapa Mibs analewa ndio ananiomba ushauri![]()
Mkokaa una maswali oooh ile uliyoweka siku ile.Ipi?
Mkokaa una maswali oooh ile uliyoweka siku ile.
Pole sana 😂😂😂😂Daah weekend hii nimepoa sana kuna mtu nimemkorofisha jana usiku kanisachi kakuta zana zimebaki 2, nnaamka asubhi simuoni kabeba funguo za gari, wallet, card za bank, vitambulisho, fedha za dharura na mtoto katokomea kwao ukisikia kizaa zaa ndio hiki 🥃
Embu nishaurini wadau View attachment 1291584
Kuna mwana nimekutana nae hapa Mibs analewa ndio ananiomba ushauri![]()
Hahaha muoneeNamuombea mtu ushauri![]()
Good for you adorabella , ulichagua vyemaMoro ni pazuri mno , nilikuja 2016 mara ya kwanza nilipapenda mno nikapania niishi huku .
Sent using Jamii Forums mobile app





Halafu wewe ndio mwanzilishi...Labda wamekuona unatoa koment nyingi sana kule wameamua kukuzawadia kabisaaaa uzi mzima![]()
Unafanya uzi uwe interesting... jiinjolie tu mwaya...maana kuna siku utakuwa bored utahamia penginewoii halafu unajua tukija kwenye takwimu yawezekana kweli mimi ndiye ninayeongoza kwa comments nyingi kwenye ule uzi,, daah hadi nimejishitukia sasa..
Sent using Jamii Forums mobile app