Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

asante, Melo inabidi afanye namna hii picha kubaki haiko sawa, that’s means picha zinabaki kwenye server
Tunataka ibaki ili tuje kuona mishepu 😹😹
Yani mimi kila nikiingia hata km zimefutwa nazikuta zote..!!

Leo nimeona mpk ya ankal Mshana Jr kala kyuti na bado naiona mpk sasa..!! 😹😹
 
sorry nilikua busy kidogo ila umenisema sana mwanetu khaaaa 😂😂😂 basi narudia ya uchi mkubwa kama upo just temiii

Ambition plus irudiwe basi mkuu sijakuona

Daah! Unanisingizia ndugu yangu.
Mm ni mgeni na Tayana-wog alishatoa maelekezo. Nikajua ndio sheria ya huu mtaa 😊😊😊😊.

basi yeye ndio kaniponza aisee.
 
Back
Top Bottom