makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,429
- 108,441
Mie kwangu Kulia ni kulia tu, vyote kunoga, akinogewa neno litamtoka tu na kinachokuja ndio masikio yangu yanapokea kama burudaniMi simtaki nataka niwe peke yangu 😹
Hivi maka kwenye mapenzi huwa unapenda mwanamke akilia kwa kinge au kimatumbi? 😹
Hili swali kuna sehemu nililikuta nikasema nitamuuliza kungwi dume..!!
Tiririika