Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee acha aunt
Mambo ya kulazimishana kusoma na uzee nimepata hesabu 5 aunt nasikilizia masimango tu hapa πŸ˜‚πŸ˜‚
Mi nilijaribu kurudi hata semester sikumaliza nikarudi kuwinga ada ikaenda bure 😹😹
Ikatokea short course Miezi 6 kuhusu biashara nikalipia hata sikwenda nikapata majanga kijana wangu wa dukani kamtia mimba binti wa watu mwanafunzi..!!

Nikaona hizi elimu za uzeeni niachane nazo..! 😹
 
πŸ˜‚ Dah ety dada power mabula.

Sasa mkisema Sio picha zangu, mm hapo naumia kwa lipi?
Afu hy kusema picha hazikuwa zangu n ww ndo ulianzisha Afu hapa unasema cjui n dada gn huko πŸ˜‚

Naona unanilisha maneno kusema nilikuwa nakusema ww khs hiyo AI, yan hata sikuwa nakuwaza kwa lolote mana Hua sina kawaida ya kuingia sana humu na hy siku nmeingia humu nkakutana na picha nikasema em niigoogle h picha Ndo nikakutana na insta yake na wale haukuwa ww. Sasa hapo kusema nakusemea ww cjui imekuja vp.

Tulia baby, Acha presha ❀️
 
Afu ukiniandika jina hakikisha umenitag nione kwa urahisi, sio tena nipate shida kufuatilia story ilipoanzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…