Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 15,052
- 33,734
Una balaa😃Ndo nimemalizia apa 🤠
Una balaa😃Ndo nimemalizia apa 🤠
Mbona Mi naona maneno tuMbona sisi tunaziona
😂😂😂 jamaniii si mfanye kuwekaa.Tokaaa🤣
Sawaa mwema usiku mkuuni kweli ila mkeka umechanika asee hebu lala tu young😪
Basi hapakufai hapa🤣🤣Mbona Mi naona maneno tu
Wee lini ulipita hapa, kazi ku zoom za wenzio tu.Kumbe kuna Hansard na hamsemi watu tunapita kavu tuu😃
likewiseSawaa mwema usiku mkuu
Una vituko binti 🤣ni kweli ila mkeka umechanika asee hebu lala tu young😪
Kwa nini Panaangalia umri au jinsia? 😁Basi hapakufai hapa🤣🤣
Mie ya mshamba nime inyaka dakk za jiniiii ipo kwenye gallery 🤣🤣🤣😂😂😂 jamaniii si mfanye kuwekaa.
Yaani mie kutokaa kidogo, watu wamefanya kufuru hapa ndani, hadi Kina Mshamba wamepita Naked.
Alooooo!! Nachokaa mimi, 😂😂😂
😃Tatizo tunapishana me mwenyewe sijakubahatisha kitambo kwel...Wee lini ulipita hapa, kazi ku zoom za wenzio tu.
Mxxxiiiieeew, 😂😂😂😂
Hansard zinabaki kwenye uzi hapa hapa. Lol
Hata msiogopeee.
Utakua umezeeka ndio maana huoni pichaKwa nini Panaangalia umri au jinsia? 😁
Umefanya mpk nisimame nipige ili uone khaaa..!! 😹😹Angalia munjya au aparachit zote za kihindi.
pita chap pacha, si unajua ugonjwa wangu wa macho
😂😂 baaasiUtakua umezeeka ndio maana huoni picha
Leo watu wa me selfika aiseeee😂😂😂 jamaniii si mfanye kuwekaa.
Yaani mie kutokaa kidogo, watu wamefanya kufuru hapa ndani, hadi Kina Mshamba wamepita Naked.
Alooooo!! Nachokaa mimi, 😂😂😂
nipe pole kwanza😢Una vituko binti 🤣
Mungu kaumbaaaaaaaa ❤️❤️❤️Umefanya mpk nisimame nipige ili uone khaaa..!! 😹😹
Unanijaza mno bichwa litapasuka..!! 😹Aibu ya nini tena kichuna changu?
Nini mamaa😢nipe pole kwanza😢