mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,367
- 75,697
Mkuu una sura dekezi/baby face/emoji face😅
Mkuu una sura dekezi/baby face/emoji face😅
Ulivyokua kazuri sasa 😍 😍 Mashallah kipenzi changu 🔥🔥🥰
Basi nitalegeza nipe location 😅Sasa kazi itakushinda unapiga maboss 😹
Mwenzio na uchizi wangu wote kwa wateja natulia wanipe maisha..!!
Acha chai zako 😅😅Mkuu una sura dekezi/baby face/emoji face😅
Asante sweetie😘Ulivyokua kazuri sasa 😍 😍 Mashallah kipenzi changu 🔥🔥🥰
😹😹😹 Uduguu wangu mzoee tu!View attachment 3602221
Sikufikii wewe maji ya kwanza, niko nasubiri kichambo cha kukosa nuru 😂 Coca kasema sisi vyeusi mangala ni machaguo ya pili huwa tunaonewa huruma tu 😂😂
Kajukuu kangu, anzeni tu kuniita bibi 😂
Ndio kusema ni katoto kake🫣🏃♀️🏃♀️🏃♀️😹😹😹 Uduguu wangu mzoee tu!
Wewe sio mweusi una rangi ya chenza bhana..!!
Huyo mjukuu wako wapi mfyuuu..!!
Unatufanya watoto sasa..!! Kwa uzee gani ulionao? 😹
Mambo unayopenda hayo 😹Nitachukua kozi ya mishangazi kwa Binti wa zamani hautakuwa na haja ya kunipa orientation.
Binti nafutaaaaMambo unayopenda hayo 😹
Halafu nilijua utakuwa katoto sana kumbe kakubwa bhana unafaa kwa matumizi..!! 😹😹
Sawa kakaKaka naona umesha shiba, wacha kelele 😅
Asante sanaPoleeeee
Kweli mkuu😅 Una kitu na utafika mbali.Acha chai zako 😅😅
😍😍😍😍
Huko mbali ni wapiKweli mkuu😅 Una kitu na utafika mbali.
Aloo sijui why naambiwa sifanani na maneno yangu 😂😂😍😍😍😍
Igweeeeeeeee
Una sura nzuri mashallah 🤩
Umeolewa? Namuulizia kaka yangu apate jiko hili chap..!!
Sema sura yako haiendani na maandishi yako. Sura ya upole maneno sasa 😹😹
Wewe unatokea sherehe imeisha watu ndiyo tunakunja matent tuondoke, umechelewa leo watu kibao wameselfika humu.Hehehee kunanini jamani uwii nacheka huku naogopa🤡🤡
leo dada nikuone dadaake
win-one nakudai
Binti wa zamani mamaake sijakuona kitambo🥱
😅😅😅Wewe unatokea sherehe imeisha watu ndiyo tunakunja matent tuondoke, umechelewa leo kila mtu kaselfika humu.
Kuna wadada na wakaka 🔥 🙌🏽 acha tu!
Kama Kuna mkaka wa haja anayeeleweka namuomba chocho, hawa wadada wapite tu, apa tu nishalewa kimbwa nikikaa humu ntalimana block na wapumbavu bure!Wewe unatokea sherehe imeisha watu ndiyo tunakunja matent tuondoke, umechelewa leo watu kibao wameselfika humu.
Kuna wadada na wakaka 🔥 🙌🏽 acha tu!
Nimeona aisee uko 🔥Basi nitalegeza nipe location 😅
Tayali nisha selfika huko juu