Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 13,995
- 31,247
YooLoooh
YooLoooh
Wafu tunazikanaUnatag wafu😅
Uzuri wote mmeuliwa na mimama😅Wafu tunazikana
Jieke apo
YEs
Usione vyaelea mkuu 😃Jieke apo
Yupo anaheal subiri aje na acceleration burstUzuri wote mmeuliwa na mimama😅
U hali gani mkuu??
Temeke au Kinondoni 😃Yupo anaheal subiri aje na acceleration burst
Tunafanya repair ya simu mbovu na kubadili simu uliyoichoka tunakupa mpya kwa top up kidogoUsione vyaelea mkuu 😃
Mie Niko poa kabisa,sijui wewe??U hali gani mkuu??
😹😹 Yule naye mchokozi yeye alipewa huduma gani na Mio?😂😂😂 unanikumbusha shengesha yao na Chuga Gal, alimuambia Mr Mio hampagi huduma sahihi, anashindia malonya lonya na yuko maporini.
Akitaka kuhamishiwa mjini anam Dash, 😂😂😂😂
Ila JF
Baga na moyo.Temeke au Kinondoni 😃
Mie Niko poa kabisa,sijui wewe??U hali gani mkuu??
Oooops! NimechelewaPita basi mamaake!😍
Jichagulie tusi braza kaka😃😃Tunafanya repair ya simu mbovu na kubadili simu uliyoichoka tunakupa mpya kwa top up kidogo
Ila mie kwenye ile shengesha, nilichoka kumbe mtu na shost ake wanazungukana, shost akiwa chuga, chimamy anaenda GYM na mio,😹😹 Yule naye mchokozi yeye alipewa huduma gani na Mio?
Kwanza ndoa yake lini na CH wapambe tukapige vigelegele 😹
Nipo salama kabisa mkuu karibu utubariki sabato iende vyemaMie Niko poa kabisa,sijui wewe??