Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe mwanakwetu na ujanja wako wote unajazwa chuki za kishamba na wewe unademka..!!

Hivi unafikiri mimi unizingue nishindwe kukuchana? Mbona ningekufata TSR nikuchambe..!! 😹😹

Sema niliamua kukuacha ipo siku utajiona mjinga mwenyewe kwa kubeba vitu moyoni..!!

Haya tulia napita ss hivi
Ooooh kuna ninii tenaa paleee? 😂😂😂
Taratibuu basi, huyu ni mwanakwetu, sasa ikawaje akatutokaaa??
 
Haya haters mje mtoe comment 😹😹
Msisahau na dimple pia ninazo ila trako sasa ndo km hivyo mpk nijibinue..!! 😹
Rangiii uduguuu rangiii, 🔥🔥🔥
Hayaa kina mwamfula, mlikua mnasema watu wanaringia rangii, haya njoeniii muoneee kituu hikiii hapa.
Hakihitajii maelezoo, kinajielezaa chenyewee.
Watu weuweeeeeee!!! Udugu akew mimi huyoo.
🔥🔥🔥
 
Ooooh kuna ninii tenaa paleee? 😂😂😂
Taratibuu basi, huyu ni mwanakwetu, sasa ikawaje akatutokaaa??
Mwanakwetu anazingua big time sema mi nikapotezea si unajua kugombana na watu wangu wa karibu naona michoresho..!!

Yani yule zimwi kawajaza wengi chuki wakati hawahusiki..!! Matraco yake ndiomana ana minyonyo km mashalove 😹😹😹
 
Mwanakwetu anazingua big time sema mi nikapotezea si unajua kugombana na watu wangu wa karibu naona michoresho..!!

Yani yule zimwi kawajaza wengi chuki wakati hawahusiki..!! Matraco yake ndiomana ana minyonyo km mashalove 😹😹😹
😂😂😂 km nani? Mke wa Iyobo?
Kwanini vita yake asambaze kwa wenginee??

Uduguu vibayaa hivyooo, 😂😂😂
 
Rangiii uduguuu rangiii, 🔥🔥🔥
Hayaa kina mwamfula, mlikua mnasema watu wanaringia rangii, haya njoeniii muoneee kituu hikiii hapa.
Hakihitajii maelezoo, kinajielezaa chenyewee.
Watu weuweeeeeee!!! Udugu akew mimi huyoo.
🔥🔥🔥
We nae utafanya nijinyonge so mi kua mweusi dhambi?😔
 
Rangiii uduguuu rangiii, 🔥🔥🔥
Hayaa kina mwamfula, mlikua mnasema watu wanaringia rangii, haya njoeniii muoneee kituu hikiii hapa.
Hakihitajii maelezoo, kinajielezaa chenyewee.
Watu weuweeeeeee!!! Udugu akew mimi huyoo.
🔥🔥🔥
Waje waje waache kujificha 😹😹
 
Back
Top Bottom