Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂 unanikumbusha shengesha yao na Chuga Gal, alimuambia Mr Mio hampagi huduma sahihi, anashindia malonya lonya na yuko maporini.
Akitaka kuhamishiwa mjini anam Dash, 😂😂😂😂
Ila JF
😹😹 Yule naye mchokozi yeye alipewa huduma gani na Mio?

Kwanza ndoa yake lini na CH wapambe tukapige vigelegele 😹
 
Labella acha ukorofi mwanakwetu, hebu selfika tusafishe macho

love and hip hop GIF by VH1 (1).gif
 
@
😹😹 Yule naye mchokozi yeye alipewa huduma gani na Mio?

Kwanza ndoa yake lini na CH wapambe tukapige vigelegele 😹
Ila mie kwenye ile shengesha, nilichoka kumbe mtu na shost ake wanazungukana, shost akiwa chuga, chimamy anaenda GYM na mio,

Sasa najiuliza mio kwa hivyo alivyo, Huko GYM alikua anaenda kufanyaje? Sipati picha watu km hawakua wanacheka wakimuona alooo.
😂😂😂😂

Ndoa ifungwe mchezoo? Luteni Jenerali atafumua ubongo toka maharusi hadi waaalikwaa.
Wee huogopiii? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom