cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,288
- 187,945
Wachaa wee.Sipoi labda nizeeke sana
Wachaa wee.Sipoi labda nizeeke sana
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wee tenaa, huwezi kubalii kabisaa, Lol [emoji23][emoji23][emoji23]Nimekataaaa mpk Yesu arudi [emoji81][emoji81]
Ko script hii Lamata hawezi ipokea kabisaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81] Mara hii umeisha?
Awwww waongo nyie..!!
Hiyo hata kwa lamata hampewi nafasi..!!
Sijawahi ona pic yako, ila zangu ziko nyingi za full, mbona najulikana. Muulize cocastic🇺🇸 boot 😻😻
Hapo vitu OG tupu afu 🔥🔥🔥
Tupia pic full basi 🥰
Nilivyosambaza vitu sasa utasema kuna mpishi wa kueleweka 😹😹😹[emoji23][emoji23][emoji23] nakujaaa mahiii
Usiniambiee, [emoji23][emoji23][emoji23]Nilivyosambaza vitu sasa utasema kuna mpishi wa kueleweka [emoji81][emoji81][emoji81]
Nzuri mno 🔥🔥Labella
[emoji355] etii hii ni nzuri? Mie nazipenda zenye mkanda wa silver.
[emoji8][emoji8]View attachment 3589894
Anipe tu au wewe unaonaje? 😹😹😹Woyooooooo!!! [emoji91][emoji91]
Hiyo nimekataa 😹😹Wee tenaa, huwezi kubalii kabisaa, Lol [emoji23][emoji23][emoji23]
Atawafurusha 😹😹😹Ko script hii Lamata hawezi ipokea kabisaa? [emoji23][emoji23][emoji23]
Twende Efootball kwanza tukajaze wachezaji🥰Ouyeaaaaah!!
Naomba uchague kati ya PS5, na [emoji385] ukasajiri wachezaji kwa eFootball, nipo kukuleteaa.
Jibu limenyooka na halina kipengere, labda awe nacho yeye.
[emoji122][emoji122][emoji122]
Hapa nasubiri saa, inatoka Sauzi, nilimuona mkaka alivaa nilishindwa kujivunga nikamuuliza, anasema yeye aliletewa na ndugu yake yuko mambelee .Nzuri mno [emoji91][emoji91]
Ila li uduguu lizurii nyie [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Ila chain za vipepeo [emoji91]
Siku moja moja unakuwa unabadilisha, mimi ninayo yenye mkanda wa white japo napenda gold na silver za Rolex.
Nakujaaa ba tamu [emoji23][emoji23][emoji23]Twende Efootball kwanza tukajaze wachezaji[emoji3059]
Hapana mkuu me ni binadamu bhana sijafika level za kuwa kama Akili Mnemba😃😃😃
Kwa kweli akupee tuu. [emoji23][emoji23]Anipe tu au wewe unaonaje? [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapana mkuu me ni binadamu bhana sijafika level za kuwa kama Akili Mnemba[emoji2][emoji2][emoji2]