Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sijui kama ulishawai thibitisha hilo ila nipo hapa kwa muda mrefu... Hili ni theory kama theory nyingine hakuna mwenye proof zaid yake Coca.. (sote tunajificha kwenye kivuli cha Id Fake)

Pili nashinda nae Selfika kwa kiasi kikubwa anavyoselfika nimekuwepo kwa muda mrefu huwa naziona kama ingekuwa otherwise na kile nilichokiamini ningekuwa nimeshaongea...

Tupo tu tunasongesha maisha mkuu maana mtaan kugumu kdg unakuja kupiga story huku... Nothing serious.... kuwa Jf tumechagua kuwa Anonymous ibaki hivyo mwisho wa siku uhalisia anabaki nao mhusika mkuu...


Nadhan nimejielezea position yangu mkuu🙏
Shem wewe ni ChatGPT?

cocastic umepata mume wa ndoto zangu..!! 🥰🥰
 
Ouyeaaaaah!!

Naomba uchague kati ya PS5, na [emoji385] ukasajiri wachezaji kwa eFootball, nipo kukuleteaa.

Jibu limenyooka na halina kipengere, labda awe nacho yeye.

[emoji122][emoji122][emoji122]
Mpelekee haraka huyu mwanaume ni wale wanaopatikana mara moja kwa karne..!! 🔥🔥
 
Mwenzako alikuomba uthibitisho kwa hayo madai yako, hujatihibitisha, unaishia kuweka maneno matupu.

Haya mueleze hapa jinsi unavyo nifahamu, nakupa ruksa na umpe picha zangu zilizo wazi, au laah umueleze nikoje ki muonekano.

Ili upate afueniii, hebu usivuke mipaka plz.
Udugu leo jpili napika pilau njoo ukate salad 😹😹😹
 
Ukitoa waha kuna wakinga aiseee sisi ndio yule Tomaso hatukubali kirahisi..!! [emoji81][emoji81][emoji81]

Nakwambia hivi, coca ungemtumia huo muamala wala wewe usingetumia nguvu kuniaminisha. Yeye mwenyewe angepiga P.A hapa..!!
[emoji23][emoji23][emoji23] uduguu, kwamba mie ni lopo lopoo??
Kaweka kweli muamala, na ushaishaa atiii.
 
Fanyaa kwani leo, nipate chochote kitu cha kufanya weekend yangu iishe poaa Mr,
1779007960880.png
 
Back
Top Bottom