Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
ila Cantri unachekesha hadi sio poaa. Poleee kwa kutesekaa Alooooh.
Nimehangaika na wewe miaka mingi kukubadilisha, unafikiri utanikatisha tamaa kirahisi tu?
 
Hiyo nimekataa alooo..!!
Huyo coca mi namjua angeshanipigia simu na sms ya muamala angefoward kunidolishia…!! 😹😹😹

Mtumie kweli uone
😁😁😁 Utapitwa na mengi mrembo.. Amini tu, sasa hivi najiandaa next week apokee kitu kimoja matata..
 
😁😁😁 toka lini na wewe umekuwa kama wachuuu wa kigomaaa kwa ubishiii au nani kakufundishaa kubisha
Ukitoa waha kuna wakinga aiseee sisi ndio yule Tomaso hatukubali kirahisi..!! 😹😹😹

Nakwambia hivi, coca ungemtumia huo muamala wala wewe usingetumia nguvu kuniaminisha. Yeye mwenyewe angepiga P.A hapa..!!
 
Back
Top Bottom