Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwema mkuu...


Kuna shida mkuu??

Niulize kwanza hilo
Shida ipo mkuu
Pata picha coca angekua ni mdogo wako alafu unaona kuna jamaa anamuita mpenzi, ungejisikiaje?

Usifikiri wale kina Noel, anko T au juma lokole ndugu zao wanapenda walivyo. Ni vile hawana namna. Tutumie muda mwingi kumshawishi coca abadilike na sio kuzidi kumfanya aendelee kuwa alipo. Wapo walioweza kutoka huko mfano Aggrey, hivyo hata coca inawezekana
 
Shida ipo mkuu
Pata picha coca angekua ni mdogo wako alafu unaona kuna jamaa anamuita mpenzi, ungejisikiaje?

Usifikiri wale kina Noel, anko T au juma lokole ndugu zao wanapenda walivyo. Ni vile hawana namna. Tutumie muda mwingi kumshawishi coca abadilike na sio kuzidi kumfanya aendelee kuwa alipo. Wapo walioweza kutoka huko mfano Aggrey, hivyo hata coca inawezekana
Sijui kama ulishawai thibitisha hilo ila nipo hapa kwa muda mrefu... Hili ni theory kama theory nyingine hakuna mwenye proof zaid yake Coca.. (sote tunajificha kwenye kivuli cha Id Fake)

Pili nashinda nae Selfika kwa kiasi kikubwa anavyoselfika nimekuwepo kwa muda mrefu huwa naziona kama ingekuwa otherwise na kile nilichokiamini ningekuwa nimeshaongea...

Tupo tu tunasongesha maisha mkuu maana mtaan kugumu kdg unakuja kupiga story huku... Nothing serious.... kuwa Jf tumechagua kuwa Anonymous ibaki hivyo mwisho wa siku uhalisia anabaki nao mhusika mkuu...


Nadhan nimejielezea position yangu mkuu🙏
 
Sijui kama ulishawai thibitisha hilo ila nipo hapa kwa muda mrefu... Hili ni theory kama theory nyingine hakuna mwenye proof zaid yake Coca.. (sote tunajificha kwenye kivuli cha Id Fake)

Pili nashinda nae Selfika kwa kiasi kikubwa anavyoselfika nimekuwepo kwa muda mrefu huwa naziona kama ingekuwa otherwise na kile nilichokiamini ningekuwa nimeshaongea...

Tupo tu tunasongesha maisha mkuu maana mtaan kugumu kdg unakuja kupiga story huku... Nothing serious.... kuwa Jf tumechagua kuwa Anonymous ibaki hivyo mwisho wa siku uhalisia anabaki nao mhusika mkuu...


Nadhan nimejielezea position yangu mkuu🙏
Mkuu nilichokueleza ni ukweli kwa 100%
Hata yeye mwenyewe amesema mara nyingi tu kuwa ni "kidampa"

Ukikataa hilo unakua unazidi kuweka wasiwasi na pia unamfanya aendelee kuwa alivyo

Mkuu si kwa ubaya Ila nakupa ushauri tu kama utauchukua sawa na ukikataa sawa pia. Najua Vita ya lgbt sio rahisi lakini usiingie kwenye mahusiano nao
 
Mkuu nilichokueleza ni ukweli kwa 100%
Hata yeye mwenyewe amesema mara nyingi tu kuwa ni "kidampa"

Ukikataa hilo unakua unazidi kuweka wasiwasi na pia unamfanya aendelee kuwa alivyo

Mkuu si kwa ubaya Ila nakupa ushauri tu kama utauchukua sawa na ukikataa sawa pia. Najua Vita ya lgbt sio rahisi lakini usiingie kwenye mahusiano nao
Karibu selfika akiselfika nitakutag🙏
 
Back
Top Bottom