Daah hizi dharau sasa,, mie nina sura ya kiutu uzima eti..
Kwa mara ya kwanza nilipewa simu mwaka 2014 mwanzoni kipindi cha likizo ya kumaliza form 4 tena ni baada ya matokeo kutoka,, ila JF nimeijua muda sema basi tu..
Sanchez magoli, Kwa hiyo 13% tu ndio wapo hai? Basi death rate ya mtanzania ipo juu sana. Unaweza kutoa takwimu ya idadi ya watanzania mwaka 1985 mkuu? Nataka nijue since then wamefariki watanzania wangapi kama kweli 13% tu ndio imebaki...
Ni jina la mwanafunzi wangu kipenzi. She is very bright and very humble. Nilipoona mnaniona mtoto kwasababu ya jina nikaamua kubadili na jina lake ndilo likanijia akilini.
aahh kaka naomba tusifikie kwenye assumption ya namna hiyo,, mie mtu alienizidi kuanzia miaka 28+ ndiyo angalau naweza nikamuona kama mzazi wangu.. wengine tusameheane tu yakhee