Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umeolewa ?
Tulete kilo kadhaa za gold, tufanye uamisho na usajiri wa kudumu 😁😁
Khaaaaa..!! 😹😹😹
Ulikaa kwenye kona?
Mi najua tupo na coca tu hapa kumbe wengine mpo? 😹

Sijaolewa lete mahari Ila bi harusi mkorofi utamuweza?? 😹😹
 
Khaaaaa..!! 😹😹😹
Ulikaa kwenye kona?
Mi najua tupo na coca tu hapa kumbe wengine mpo? 😹

Sijaolewa lete mahari Ila bi harusi mkorofi utamuweza?? 😹😹
Hakuna mwanamke mkorofi, mbele ya kupendwa, kudekezwa, kulindwa, na kutengezewa mazingira ya amani na furaha kila mda.. 😁😁
 
Uduguuuu wangu mwenyewee!! Hapa uko km Kamala Harris.
Nimependa hii Dress ya viwangoo, ni high Classic. .
Baruzaaaa uduguuu, Baruzaaaa tenaaaa!!!

Watuuuu weuweeeeeeeeeeee!!!!!!
😹😹😹 Ninavyompenda Kamala sasa 😻
Uduguu umependa dress?
Ungekuwa na mwili km wangu ningekupa.

Kwanza nimekumbuka wewe miss vinjunga 😹😹
 
Khaaaaa..!!
Ulikaa kwenye kona?
Mi najua tupo na coca tu hapa kumbe wengine mpo?

Sijaolewa lete mahari Ila bi harusi mkorofi utamuweza??
muambie kabisaa, mahari ni plot iliyoko nchi ya maandishi 3, passport za ukoo mzima hadi mie uduguu, na Tickets za Go n return za Maldives.

 
Mie ni vinjunga kwa kwenda mbelee na Trauzaaa.
Mimi ndo nipo kote kote inategemea naamka na mood gani siku hiyo..!! 😹😹😹

Kuna siku naamua nakula kinjunga kinjunga kweli km cha kina beyonce na sitaki ushauri wa mtu..!! 😹😹😹

Kuna pic moja inachekesha siku nitakutumia uone..!!
 
Back
Top Bottom