cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 114,643
- 184,506
Hapana sikuingia yoga wa kumuogopa ila niliona km ananiletea makuzi. Mi sitaki kujulikana na yoyote JF


mdo mdo utafikiwa atiii.Hapana sikuingia yoga wa kumuogopa ila niliona km ananiletea makuzi. Mi sitaki kujulikana na yoyote JF


mdo mdo utafikiwa atiii.😹😹😹😹Umeanzaa sasa uduguuu, khaaah.![]()
Umeolewa ?😹😹😹😹
Ngoja nikupe ronya langu uone
Angalia chap chap kabla wanga hawajasema gari sio langu 🤣
View attachment 3587816
Uduguuuu wangu mwenyewee!! Hapa uko km Kamala Harris.
Ngoja nikupe ronya langu uone
Angalia chap chap kabla wanga hawajasema gari sio langu
View attachment 3587816






Khaaaaa..!! 😹😹😹Umeolewa ?
Tulete kilo kadhaa za gold, tufanye uamisho na usajiri wa kudumu 😁😁
Hakuna mwanamke mkorofi, mbele ya kupendwa, kudekezwa, kulindwa, na kutengezewa mazingira ya amani na furaha kila mda.. 😁😁Khaaaaa..!! 😹😹😹
Ulikaa kwenye kona?
Mi najua tupo na coca tu hapa kumbe wengine mpo? 😹
Sijaolewa lete mahari Ila bi harusi mkorofi utamuweza?? 😹😹
😹😹😹 Ninavyompenda Kamala sasa 😻Uduguuuu wangu mwenyewee!! Hapa uko km Kamala Harris.
Nimependa hii Dress ya viwangoo, ni high Classic. .
Baruzaaaa uduguuu, Baruzaaaa tenaaaa!!!
Watuuuu weuweeeeeeeeeeee!!!!!!
Khaaaaa..!!
Ulikaa kwenye kona?
Mi najua tupo na coca tu hapa kumbe wengine mpo?
Sijaolewa lete mahari Ila bi harusi mkorofi utamuweza??![]()


muambie kabisaa, mahari ni plot iliyoko nchi ya maandishi 3, passport za ukoo mzima hadi mie uduguu, na Tickets za Go n return za Maldives.


Mie ni vinjunga kwa kwenda mbelee na Trauzaaa.Ninavyompenda Kamala sasa
Uduguu umependa dress?
Ungekuwa na mwili km wangu ningekupa.
Kwanza nimekumbuka wewe miss vinjunga![]()



Maneno yako yote haya, yalitakiwa yawe kwa neno 1, PESA.Hakuna mwanamke mkorofi, mbele ya kupendwa, kudekezwa, kulindwa, na kutengezewa mazingira ya amani na furaha kila mda..![]()



Njoo PM na account number ya CITI Bank nikufanyie muamala, situmiagi vi bank uchwara mtoto mzuri 😁Maneno yako yote haya, yalitakiwa yawe kwa neno 1, PESA.
![]()
😹😹😹 Wacha weeeh!!Hakuna mwanamke mkorofi, mbele ya kupendwa, kudekezwa, kulindwa, na kutengezewa mazingira ya amani na furaha kila mda.. 😁😁
Thubutuuuu..!! 😹😹😹muambie kabisaa, mahari ni plot iliyoko nchi ya maandishi 3, passport za ukoo mzima hadi mie uduguu, na Tickets za Go n return za Maldives.
![]()
hizo ni entry level kwa wanao anza kuzijua stareheeThubutuuuu..!! 😹😹😹
Yeye mwenyewe huko 🇺🇸 hajafika 😹
😁 Usiogope mrembo sema thuu, miaka yote nilikuwa natafuta mwanamke kama wewe..😹😹😹 Wacha weeeh!!
Unajitahidi kupangilia mistari..!!
Huu mchezo sasa shem,Njoo PM na account number ya CITI Bank nikufanyie muamala, situmiagi vi bank uchwara mtoto mzuri![]()



Mimi ndo nipo kote kote inategemea naamka na mood gani siku hiyo..!! 😹😹😹Mie ni vinjunga kwa kwenda mbelee na Trauzaaa.![]()