Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hizo bank za watu kujipatia boom, nitumie account ya Citi bank 😁
😹😹😹 Mjinga weeh!!
Basi akupe hata ya Exim tajirii.
Au tukupe account ya CRDB ya dollar.
Si unatuma dollar 😹😹
 
Mimi ndo nipo kote kote inategemea naamka na mood gani siku hiyo..!! [emoji81][emoji81][emoji81]

Kuna siku naamua nakula kinjunga kinjunga kweli km cha kina beyonce na sitaki ushauri wa mtu..!! [emoji81][emoji81][emoji81]

Kuna pic moja inachekesha siku nitakutumia uone..!!
Kuna siku nilivaa Guberiii, [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wote mtaani hoii, yaan akili zangu nazijuaga mwenyewe tuu.
 
Back
Top Bottom