Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ningewaonesha masalio harisi sema ndio ivyoo.. lengo langu mie sio hilo
Onesha kiduchu tu, ili tuaminii [emoji23][emoji23][emoji23]
Maneno hayavunji mfupa atiii, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
😁 nikupe connection ya Kamal, role model wako, akupe dondoo zanguu.. naona kama una mashaka mashaka huki nimejitokeza bonge la bwana..
Sawa Obama lete connection hiyo 😹😹😹
Halafu unakuta parody la mzabzab lipo kutuchora hapa..!!
 
Onesha kiduchu tu, ili tuaminii [emoji23][emoji23][emoji23]
Maneno hayavunji mfupa atiii, [emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo PM sasa, alafu mie hata sitaki email wala namba ya simu. Bali nipatie tu account ya number basi.. nikuwekee mapesa, ningekuambia LIPA NAMBA ila hiyo ita funua uhusika wenu 😁😁
 
Wasi wasi wa nini muhandisi.. Ujue mie no senior kwenye gape nimeshakuwa consulant hadi bank ya dunia.. usichukulia poa.. kiutani utani mtapishana na ma dollar
Wee jamaa I’d yako maarufu ipi? 😹😹
Maana una details zote za humu mtsiewww!!
 
Sawa Obama lete connection hiyo [emoji81][emoji81][emoji81]
Halafu unakuta parody la mzabzab lipo kutuchora hapa..!!
Umejuajee? Toka mda nilisema huyu sio mgeni hapa Jijini selfika, ndo nili target Mzabzab au Wige. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom