Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😹😹😹 Mjinga weeh!!
Basi akupe hata ya Exim tajirii.
Au tukupe account ya CRDB ya dollar.
Si unatuma dollar 😹😹
Nitumie ya dollar basi, japo hizo bank za ushirika ( wakulima ) bank za boom hizo, sio hadhi yako kabisaa.. 😁
 
Mjinga weeh!!
Basi akupe hata ya Exim tajirii.
Au tukupe account ya CRDB ya dollar.
Si unatuma dollar
Dollars anazisikia redioni na kuziona wakati wa taarifa ya habari kipindi cha Bureau De Change.
 
Eti enheee!! 😹😹😹
Jitahidi, endelea kunata na beat..!!
😁 nikupe connection ya Kamal, role model wako, akupe dondoo zanguu.. naona kama una mashaka mashaka huki nimejitokeza bonge la bwana..
 
Wee Mpopo, ni Tapeli kutoka Abuja mtaa gani?
Wasi wasi wa nini muhandisi.. Ujue mie no senior kwenye gape nimeshakuwa consulant hadi bank ya dunia.. usichukulia poa.. kiutani utani mtapishana na ma dollar
 
Wasi wasi wa nini muhandisi.. Ujue mie no senior kwenye gape nimeshakuwa consulant hadi bank ya dunia.. usichukulia poa.. kiutani utani mtapishana na ma dollar
Wee tusha sanukaa, huu mchezoo aseee!! Lol
 
Back
Top Bottom