Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nina muda mrefu sijaletewa kiko ujue, fanya kumwagiza mmoja aniletee nilipo 😜

Hujambo lakini? Mbona kama mvinyo wa zamani ila chupa mpya

Usiniambie hii ni backup Id yako nyingine baada ya ile 😂
Ngoja nimtume mmoja hivi akuletee kiko babu, huwezi kupata arosto na jukuu lako winga wa kila bidhaa nipo babuu!! 😹😹😹

Mi sijambo, umenifurahisha japo umezeeka ila hujawahi kusahau harufu ya mjukuu wako..!! 😹😹😹
 
Ngoja nimtume mmoja hivi akuletee kiko babu, huwezi kupata arosto na jukuu lako winga wa kila bidhaa nipo babuu!! 😹😹😹
Ndiyo maana siachi kukupenda mjukuu wangu, unajua kunijulia babu yako 😉
Mi sijambo, umenifurahisha japo umezeeka ila hujawahi kusahau harufu ya mjukuu wako..!! 😹😹😹
Kwa kweli siwezi kukupotea mjukuu, hata ukiwa maili 10 bado naweza kunusa harufu ya manukato yako (Maana ni OG kutoka Paris kwenyewe) 😜
 
Ndiyo maana siachi kukupenda mjukuu wangu, unajua kunijulia babu yako 😉

Kwa kweli siwezi kukupotea mjukuu, hata ukiwa maili 10 bado naweza kunusa harufu ya manukato yako (Maana ni OG kutoka Paris kwenyewe) 😜
Babu nimekumbuka club de nuit yangu imefinish 😥😹

Naomba ufanye nipate mupya babuu 😹😹

Wewe babu nakujulia lazima uletewe kiko na pisi iliyonyooka..!!

Au nimtume Wog 😜
 
Babu nimekumbuka club de nuit yangu imefinish 😥😹

Naomba ufanye nipate mupya babuu 😹😹
Usijali kuhusu hilo mjukuu, nikuagizie alibaba ama utaenda kubahatisha hapo mlimani city 😜
Wewe babu nakujulia lazima uletewe kiko na pisi iliyonyooka..!!

Au nimtume Wog 😜
Mambo si ndiyo hayo mjukuu, mtume tu aniletee, nina arosto sana ujue 😁
 
Usijali kuhusu hilo mjukuu, nikuagizie alibaba ama utaenda kubahatisha hapo mlimani city 😜

Mambo si ndiyo hayo mjukuu, mtume tu aniletee, nina arosto sana ujue 😁
Babu Alibaba watanicheleweshea, last time Amazon waliniletea kwa kuchelewa..!!

Naona nichukulie Mlimani city tu inatosha..!! 😹😹😹

Anakuja anamalizia kupaka lipstick 😹
 
Battle za urithi, alitaka kuwa godfather akati sija wahi kumuona hadi siku ya msiba.

it was me against the whole fvckin clan.
😹😹😹 Alitaka kuwa msimamizi ili mtaabike..!!

Ila ndugu jau sana, mi mpk leo tumezinguana mirathi ya mzee na bro angu mkubwa..!!

Nikazira nikawaachia sasa hivi mahakama imewaambia waniite tuamue kwa pamoja nimegoma na namba nimebadilisha..!!

Mambo ya mali mnaweza kuuana hivi hivi wakati aliyezitafuta kaziacha..!!
 
Back
Top Bottom