Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23] ila JF ukikaa vibayaa unajikuta unaweka mpodido wako kwa pm ya mtu na hujaombwaa, wakaka ni wazurii humuu.
Awwwww!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
😹😹😹😹 Uduguu Umeanza kunifanya nionekane chizi ujue..!!

Hapo kwenye mpodido pm ndo hataree 🤣
Watu waliweka bila kuombwa Halafu wakabaki kila mmoja anatazama wa mwenzie wanaume wa pm wapuuzi sana 😹😹😹
 
Wee ni mzureeee [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji91][emoji91]
Afu nikuulize Dear, hivi Rasi hadi kuwa km zako ni mda gani?

Maana kuna mdada alianza kufuga, baada ya km mwaka na kdg akazitoa na hapo hazikua kubwa.
Asante sana Dear 😍😍

Zangu nina miaka 6 sasa ndiyo zina urefu huo
 
Boss kubwa huyo si OG sasa huyu ni mchepuko, wa kuitwa R ni lizuri hili likaka, Limeru la kutoka Chugaaa, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona Felista, [emoji23][emoji23][emoji23]
Una mpaka na mchepuko humu wakati mimi hata bwana wa kuzugia sina 🙆‍♀️😹😹

Uduguu wewe na dada Feli naomba namba za waganga wenu puliiiizz 🤣🤣
 
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] Uduguu Umeanza kunifanya nionekane chizi ujue..!!

Hapo kwenye mpodido pm ndo hataree [emoji1787]
Watu waliweka bila kuombwa Halafu wakabaki kila mmoja anatazama wa mwenzie wanaume wa pm wapuuzi sana [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23] hatariiii wakaka ni wazuriii humuu, nguvu ya kukataa kuweka mpodido unatoa wapiii? Aweee!!

Nimemiss kina Babu miga na Wige, sijui wamepotelea wapi na mavazi yao mengine humu hatujafanikiwa kuyadaka. Lol

Umesahau Babu miga heka heka zake? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom