win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 9,126
- 31,063
humo humo kwenye hadithi ndo mnapitiamoHayo mambo wazee hatufanyi mjukuu
Sisi ni kusimuliana hadithi tu za mwaka 47 basi 😊
humo humo kwenye hadithi ndo mnapitiamoHayo mambo wazee hatufanyi mjukuu
Sisi ni kusimuliana hadithi tu za mwaka 47 basi 😊
muongoNimesha tupia na nimefutaa..
Naweka tena mara ya mwishomuongo
Sio kwa mzee mimi mjukuuhumo humo kwenye hadithi ndo mnapitiamo
sawaaa,Naweka tena mara ya mwisho
😁😁😂 Umeiona eeeeeeee semejaa 😆aiseee
nigawie tu nyama beiby😊@Dr 4 am 4 real PHD
sitaki😆😁😁😂 Umeiona eeeeeeee semejaa 😆
Semejaaa 😁😁sitaki😆
umeniudhiiiiiiiSemejaaa 😁😁
Naweka hapa Sasa iviii for you.umeniudhiiiiiii
Hapa akija muoaji, bila koti la babu kutoka Italy siruhusu mjukuu kuolewaBabuuuuu🤪🤪
kajua kukuvuruga babu yangu,, poleee nani alikutuma uzaliwe miaka ya 70 huko😆😆😆 saivi ungekua unajitafunia mifupaHapa akija muoaji, bila koti la babu kutoka Italy siruhusu mjukuu kuolewa
Mjukuu anaweza kufanya wazee tupoteze network kabisa😎
Kwa kweli leo imekuwa bahatina umwambie awe anakaa standby ili asipitwe hata kula kwa macho tu
kwa kweli jamni😆😆Kwa kweli leo imekuwa bahati
Nitamweleza atafute miwani ya macho kama yangu kwaajili ya kuendelea kuona wajukuu walivyo wa-hot humu 😉
Kwa kweli wazee hatuna bahati kabisa, tungekuwa tuna meno tungejitahidi hata kidogo....ila kwa uzee huu ni kula kwa macho tu 🙌kajua kukuvuruga babu yangu,, poleee nani alikutuma uzaliwe miaka ya 70 huko😆😆😆 saivi ungekua unajitafunia mifupa