win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 2,695
- 7,925
umepona eehUteeeee mama uteeeeee
Uteeeee mama uteeeeee
🥹🥹🥹🥹🥹
umepona eehUteeeee mama uteeeeee
Uteeeee mama uteeeeee
🥹🥹🥹🥹🥹
Nimepona vzr tu...umepona eeh
tamaa zitakuua mdogo wangu🤣🤣🤣 unahitaji maombiNimepona vzr tu...
Leo nipo sehemu moja hv kuna interview ila naona kabisa sitoboi nakutana na watoto hao mpaka napagawa mimi..
Napagawa mimi mwenzenyu nashindwa zuia hisia zangu kwa hawa wadada hapa kabisa an aiseee
Yaaan nakwambiaje kama nikipita basi napita nao aiseeee...tamaa zitakuua mdogo wangu🤣🤣🤣 unahitaji maombi
uzuri kidudu ni chako siwezi kukupangia matumizi🤣🤣🤣Yaaan nakwambiaje kama nikipita basi napita nao aiseeee...
Nashindwa vumilia mimi kabisa aiseeeee napagawa mimi
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌uzuri kidudu ni chako siwezi kukupangia matumizi🤣🤣🤣
hebu selfika kwanza nione ulivyo tupia huko kweny intaviu
shame on you again and more😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Nipo kwa gari nardi kwetu..
Nimeshindwa washa printer machine shame on me... 🥹🥹😭😭😭😭
Nimepata namba ya kadada kembamba
Oyaaa weeeeh ...shame on you again and more😂😂😂
badae sitokuwepo we nambie saivi tuyamalize😄Oyaaa weeeeh ...
Ntakuambia badae kwa uzi wa TAMISEMI 😂😂😂😂😂
Yule mdada niliyemuomna namba kanichek hapa..badae sitokuwepo we nambie saivi tuyamalize😄
nimechekaaaaaaaaa😄😄😄😄😄 pumbavu zako,, bado haujapona gono ushakimbilia mwanamke mwingine🤨,, sasa hiyo pisi utaipa nini? au ndo atasubiri hizo mia 5 unazopata ukiwawekea watu movie🤦♀️🤦♀️ au,ni toto la kishua halihitaji matunzoYule mdada niliyemuomna namba kanichek hapa..
Kiufupi tayari ni wapenzi aiseeee Mungu akunyimi vyote just imagine nimekosa kazi ila nimepata chaguo la moyo wangu..
Mtoto anasema mi ni mkaka pole alafu smart sana.
Daaah Mungu mkubwa na anamakusudio yake aiseeee..
Sio wa kishua bana...nimechekaaaaaaaaa😄😄😄😄😄 pumbavu zako,, bado haujapona gono ushakimbilia mwanamke mwingine🤨,, sasa hiyo pisi utaipa nini? au ndo atasubiri hizo mia 5 unazopata ukiwawekea watu movie🤦♀️🤦♀️ au,ni toto la kishua halihitaji matunzo
haya mdogo wangu kila la kheri usiache kunipa kadi kwenye harusi yenuSio wa kishua bana...
Angekua wa kishua asingekuwepo pale kuhangaikia kazi za ajabu zile et wanasema jinsi gani ya kupitisha sofa kwenye mlango mdogo.
But all on all haka katoto nasema.kabisa kameteka Moyo wangu aiseeee 💯 🙏..
Naawezela achana na mishangazi hv hv aiseeee alafu ujue nn oya black beuty hii alafu modal rasta mpaka matakoni..
Mi rasta napenda ujue
Mi na kuoa wapi na wapi...haya mdogo wangu kila la kheri usiache kunipa kadi kwenye harusi yenu
sasa unampango wa kuzini mpka lini kijana 😄😄Mi na kuoa wapi na wapi...
Doooh unanikosea sana