Unataka nikubembeleze wee unizungushe wee ili ufurahi
bado sijapona majeraha ulonitusi juzi😔Unataka nikubembeleze wee unizungushe wee ili ufurahi
Weka picha min-me anasubiri. Acha kudeka.bado sijapona majeraha ulonitusi juzi😔
namdekea nani sasa🤣Weka picha min-me anasubiri. Acha kudeka.
Sifahamu hichi kifaaView attachment 3558399
mara ya mwisho umejipima wingi wa virusi mwilin mwako ni lini? hebu njoo uniungishe huku😊 ukajicheki mshamba_hachekwi
sawa haukifahamu ila ndo hata kusoma ushindwe mwanetu😭Sifahamu hichi kifaa
Nimesoma, ila ndo nakiona leo. Hata hivyo HIV sinasawa haukifahamu ila ndo hata kusoma ushindwe mwanetu😭
nani kasema unayo? mtaani unakutana na vitu vingi kwahiyo ni muhimu kuwa unajichek mara kwa mara uone muenendo wa mwili wako, sawa mdogo wangu wa mwisho 😍🤗Nimesoma, ila ndo nakiona leo. Hata hivyo HIV sina
Ukitubu na ukimwi unapona hapo hapo.nani kasema unayo? mtaani unakutana na vitu vingi kwahiyo ni muhimu kuwa unajichek mara kwa mara uone muenendo wa mwili wako, sawa mdogo wangu wa mwisho 😍🤗
nilisahau kama wew ni mlokole🤣🤣🤣 ayaaaUkitubu na ukimwi unapona hapo hapo.
Win nipo na hali mbaya sijui shida nini.Poor Brain baba mishangazi nakusalimia wew na yule ndugu yako🤭,, mnitag kwenye ule uzi siuoni tena
wenzako waliamua kuacha uzinzi mwezi mtukufu ila we ukaendeleza kila baada ya kufuturu,,, pole mtuwangu get well soon nenda maabara wakakudunge powerself moja ukunywe na cefixim plus dox utakua sawaWin nipo na hali mbaya sijui shida nini.
Yaani nikikojoa kama nakojoa moto 🔥🔥🔥🔥
Huku panauma nikikojoa 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mmmh hiyo powerself staki tena 🙌🙌🙌🙌 maumivu yale staki..wenzako waliamua kuacha uzinzi mwezi mtukufu ila we ukaendeleza kila baada ya kufuturu,,, pole mtuwangu get well soon nenda maabara wakakudunge powerself moja ukunywe na cefixim plus dox utakua sawa
kuna discharge zinazotoka au ni mkojo kuuma pekeake?Mmmh hiyo powerself staki tena 🙌🙌🙌🙌 maumivu yale staki..
Ile dawa nzito kama uji siitaki siitaki sitaki..
Wanasema itakua UTI
Uteeeee mama uteeeeeekuna discharge zinazotoka au ni mkojo kuuma pekeake?