Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Win nipo na hali mbaya sijui shida nini.
Yaani nikikojoa kama nakojoa moto 🔥🔥🔥🔥

Huku panauma nikikojoa 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
wenzako waliamua kuacha uzinzi mwezi mtukufu ila we ukaendeleza kila baada ya kufuturu,,, pole mtuwangu get well soon nenda maabara wakakudunge powerself moja ukunywe na cefixim plus dox utakua sawa
 
wenzako waliamua kuacha uzinzi mwezi mtukufu ila we ukaendeleza kila baada ya kufuturu,,, pole mtuwangu get well soon nenda maabara wakakudunge powerself moja ukunywe na cefixim plus dox utakua sawa
Mmmh hiyo powerself staki tena 🙌🙌🙌🙌 maumivu yale staki..
Ile dawa nzito kama uji siitaki siitaki sitaki..
Wanasema itakua UTI
 
Back
Top Bottom