Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,311
- 37,077
Pole sana, siku nyingine maliza kabisa kazi😂Jmn nilikuwa na kazi
Ilq ht hujaniitqPole sana, siku nyingine maliza kabisa kazi😂
Ukoo wa kina Mshana ?Huku nilipo Mungu nisaidie nitoke salama🥺🤮View attachment 3555410
Nimekuita umelala tu😂Ilq ht hujaniitq
Basi poq tusubiri ngwe ya usiku
Na ndo natakq niingie kulalq ssNimekuita umelala tu😂
Unalala mchana mm siwez ikitokea ni nadra sanaNa ndo natakq niingie kulalq ss
Njoo tulale huku😃Na ndo natakq niingie kulalq ss
Unashindwaje ni rahaaa👌🏽Unalala mchana mm siwez ikitokea ni nadra sana
Naogopa kunenepa 🤣 hata hivyo mala nyingi sipati mda wa kulalaUnashindwaje ni rahaaa👌🏽
Haunenepi saana! Kwanini haupati muda?Naogopa kunenepa 🤣 hata hivyo mala nyingi sipati mda wa kulala
Mambo mengi dearHaunenepi saana! Kwanini haupati muda?
Yes mi nalala sn tuUnalala mchana mm siwez ikitokea ni nadra sana
HahaqNjoo tulale huku😃
Kumbe basi sawa mi nimezaa tayali maa😍Yes mi nalala sn tu
1 yq kitu nakipenda
Nina rfk angu huwa anasemq lala tu ukija kuzaa ukiqnza kulea utaukumbuka huu muda🤣
Ukiwepo nambie niweke shwaaaa😁pita saivi sameja wangu mwenye sura ya upole ila cha pombe😁😁 tupo wawili
nipo sameja fanya jambo chapUkiwepo nambie niweke shwaaaa😁
Leo NIANGALIE vizuri uone kama Mimi ni mlevi au mnywajii naweka picha soon
Tayar shwaaaanipo sameja fanya jambo chap