Hata najua basi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 1,984
- 3,959
AsanteHongera mwaya
AsanteHongera mwaya
Wozza🤸🏽♀️
Wife kabisa eti baba😂Sawa basi naomba uwe baba angu wa hiari🥰
Acheni ujinga basi😂Request fully accepted 💪🏿📌🔨
Ya nyoko🤣Papa🥰
Nimechagua awe baba anguWife kabisa eti baba😂
Tokea kumekucha sijacheka hivi 😂😂😂Ya nyoko🤣
Unakubali na wewe kuitwa baba kweli?
We danga hilo unasema baba😂Nimechagua awe baba angu
SERAN ukorofi utaacha lin?🙌
We ongea na kijana wa zamani vzr mambo ya baba humu kivipi ss😆Tokea kumekucha sijacheka hivi 😂😂😂
Astghafirullah sijihusishi na mahusiano labda anifundishe uroziWe danga hilo unasema baba😂
Naijua hiyoo.. ongea na dingilai vzr binti mrembo😅Astghafirullah sijihusishi na mahusiano labda anifundishe urozi
Ili tuwe tunaongozana kuosha maiti ?Naijua hiyoo.. ongea na dingilai vzr binti mrembo😅
Atatugombanisha huyu dada hajui feeling nazopata kujipatia baba 🥰
Sema daddy😍 si ndio inayowaletea kipato dada, unataka kutembelea makalio na hutaki kujishughulisha😳 we hata akisema leo tunalombania makaburini sema sawa dadii🤪🫠Ili tuwe tunaongozana kuosha maiti ?
Hunihurumii halafu utanikosanisha na new papa🥰 ataona sina heshima