mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,931
Acha roho mbaya mkuu.Basi umepitwaa! Hapa marudio ni j2
Acha roho mbaya mkuu.Basi umepitwaa! Hapa marudio ni j2
Hebu weka kitu hapo kwanzaAcha roho mbaya mkuu.
Lamomy huyu ndo kijana ulikuwa unasema ukinywa maji unamuona kwenye glass?
Maisha hayana formula, Leo na wewe unatamba kuhusu pesa🙌😂😂😂😂😂 vanguard hapanaa, ila IST naweza kumiliki tena 0km kutoka kiwandaniii.
Nina sura ngumu sana mkuu, utaota usiku. Weka yako tu.Hebu weka kitu hapo kwanza
Daah ushaanza kuwanga, pamoja na kupata hela kote lakini hujaacha uchawiCantry, nimekunyakaa leooo, aiseeee.
Mbona hatariii sanaaa., uko km mjeda vilee.
Leta hela kidogo nakuuzia vnguard ya kizamani kidogo , ya 2008.😂😂😂😂😂 vanguard hapanaa, ila IST naweza kumiliki tena 0km kutoka kiwandaniii.
Weka tu wanawake huwa ni wavumilivu sana😆Nina sura ngumu sana mkuu, utaota usiku. Weka yako tu.
Basi kama hutaki mkuu. Roho mbaya kama nini...Weka tu wanawake huwa ni wavumilivu sana😆
Mimi tena? We ndio uweke hiyo sura kwanza..Basi kama hutaki mkuu. Roho mbaya kama nini...
Nyie ndio mnafanya watu wasiselfike. Hii 2026 lakini bado mna mambo ya zamani.Lamomy huyu ndo kijana ulikuwa unasema ukinywa maji unamuona kwenye glass?
Cantry unanilisha maneno, sijatamba bhana, ni wee ndo unanisanukia hivyoo.Maisha hayana formula, Leo na wewe unatamba kuhusu pesa🙌
Ila cantry, una nini na mie lakinii?? 😂😂😂😂😂Nyie ndio mnafanya watu wasiselfike. Hii 2026 lakini bado mna mambo ya zamani.
Ndio maana hupati maendeleo, kina coca wanakuja wanakupita wewe bado upo palepale tu
Km kiasi gani? Na isizidi 3000kmLeta hela kidogo nakuuzia vnguard ya kizamani kidogo , ya 2008.
Uchawi ndo ulonipa hela, bila hivyo ingekua hollah.Daah ushaanza kuwanga, pamoja na kupata hela kote lakini hujaacha uchawi
Sasa hata comment zako zipo tofauti, zimekaa kishuaCantry unanilisha maneno, sijatamba bhana, ni wee ndo unanisanukia hivyoo.
Nna pesa basi?? Nina vichenji vya kubadilisha milo tyuu.
Pesa mnazo nyie mafogo. 😂😂😂😂😂😂
Waliokusaidia unawakumbuka?Uchawi ndo ulonipa hela, bila hivyo ingekua hollah.
Nimeamua kujilipua tyuu bhana wee.
😂😂😂😂😂😂😂
Ngoja niondoke zangu naona unanichora tu.Mimi tena? We ndio uweke hiyo sura kwanza..
😂😂😂😂😂 huu uzi ni wa ku selfika.Waliokusaidia unawakumbuka?
Sasa ndo nini!! Weka bn ukitoka nafuatia..Ngoja niondoke zangu naona unanichora tu.