Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,415
Imekaa vzrTunaweza kupata kahawa jioni ya leo
Imekaa vzrTunaweza kupata kahawa jioni ya leo
HahahahaImekaa vzr
Midaa ya Gahawa hii UJUEHahahaha
Mfyuuu!! Unatania wapi wakati unamaanisha kabisaa…!! 😹😹😹Nzii kufia kwenye kidonda 😁 kudimbua muhimu.
Lamony wewe TUPE skills tusitishane... kuhusu afya Mimi ni mdau wa afya mwandamizii senior.
NB. Nilikua natania sana nimesha tundika daluga muda mrefu Sasa😊
Selfika mkuu.Kuku kwenye mchele🤯
Roho imeniuma sana, kikao kimeisha jibu hatujapata wapi unatoa hele😩Ila cantry, mbona kikao cha dharura.
Em njoo site tupambane na wachina huku. Lol
😂😂😂😂😂😂😂
Leo ngoja niselfike kwa heshima yako dogo mtaalam wa mifumo ya kompyutaSelfika mkuu.
Selfika wakuone cheupe dawa.Leo ngoja niselfike kwa heshima yako dogo mtaalam wa mifumo ya kompyuta
Ulikuwa wapi kwaniSelfika mkuu.
Kwenye mahangaiko.Ulikuwa wapi kwani
We dogo mm sio mweupeSelfika wakuone cheupe dawa.
😂😂😂😂😂 cantry, yaani nifirisike niendelee kuwa ombaomba? Em acha hizo.Roho imeniuma sana, kikao kimeisha jibu hatujapata wapi unatoa hele😩
Maazimio ya kikao ni kukuombea mabaya ufirisike urudi kama zamani🤠!
Basi umepitwaa! Hapa marudio ni j2Kwenye mahangaiko.
Kuna post nimeona unaulizia bei ya vanguard. Umenichanganya sana😩😂😂😂😂😂 cantry, yaani nifirisike niendelee kuwa ombaomba? Em acha hizo.
Niombee mafanikio zaidi bhana. Khaaah
😂😂😂😂😂 vanguard hapanaa, ila IST naweza kumiliki tena 0km kutoka kiwandaniii.Kuna post nimeona unaulizia bei ya vanguard. Umenichanganya sana😩