Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizi tunza utamsikilizisha mpenzi ajaye.
Mimi hizi nyimbo siwezi kusikiliza, nina PTSD ya mapenzi!

Naungana na Evelyn Salt kama vipi yafutwe, nibakie na kudinyana tu!
🤪🤪🤪 Japan wamekuja na kifaa, cha kufuta memory.. hii itasaidia sana wahanga. Hizi song nakumbuka miaka ya zamani sana kwenye ujana, leo nimejikuta nazikumbuka na nimekumbuka mbaali sana kwa mtoto Winfrida enzi hizo namsindikiza skongaaa
 
Min babu jinga 😹😹
Muache my friend buana 😆
Nna ubuyu unaniwasha ngoja nikamwambie Max aweke jukwaa la wambea ili niflow huko..!!
Wakati tunasubiria jukwaa la wambea, anza kuupunguzia hapa hapa 😅

giphy 12.GIF
 
Seriously ulikua hapa....
Daaah daaaah mbona ujanipanga na mi nilikua kwa kikao cha familia huko...

Kuna mdogo etu anaoa 😂😂😂😂😂
Ndio pale nilipopita nikakuta Kuna watu wengi 😃😃😃nilikuwa na vijana wangu wa dawasco na dawasa tunapiga kazi kuanzia Chamazi to kiponza
 
Ndio pale nilipopita nikakuta Kuna watu wengi 😃😃😃nilikuwa na vijana wangu wa dawasco na dawasa tunapiga kazi kuanzia Chamazi to kiponza
Unaona sasa an tunaweza kuwa tunaoishana mitaani huko hivi hivi bila hata kujuana...
Assume unge shout POOR BRAIN ahahahah 😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom