nikuweke
JF-Expert Member
- Sep 23, 2025
- 370
- 835
Leo nina ka vibe ka ki vacation maMtu 😎Naona umelala na kuamka na mawazo ya kwenda milimani.
Leo nina ka vibe ka ki vacation maMtu 😎Naona umelala na kuamka na mawazo ya kwenda milimani.
Nenda mapumziko usijinyime, maisha yenyewe ndiyo haya haya!Leo nina ka vibe ka ki vacation maMtu 😎
View attachment 3478473
😹😹😹 Au sio?
Hebu ropoka tu, maana leo kalewa ameyamwaga humu siyo poa 🤣🤣🤣😹😹😹 Au sio?
Ujue mwanakwetu mi mdomo wangu hauna breki, nitaropoka nimkwaze min 🤣
Weeh..!! Em samaraizi kwanza mwanakwetu 😹😹😹Hebu ropoka tu, maana leo kalewa ameyamwaga humu siyo poa 🤣🤣🤣
We pitia pitia, hakuna kilichofutwa.Weeh..!! Em samaraizi kwanza mwanakwetu 😹😹😹
Kumbe kulikua pambe leo humu? 🤣
😀😀❤️❤️Kipenzi changu ni mmoja tu
😀😀
🤣🤣🤣 Kitengo unaenda kozi mwaka mzima, kupiga visahani tu🤣🤣🤣
Ukiwa online nicheki ☺️😊wapi?,, zile za mwanzo zilikua changamsha uzi sameja usichukulie serious🤗😅,, ebu selfika kwanza tuone kama kuna mabadiliko
Tumoghele Forever
We pitia pitia, hakuna kilichofutwa.
Mkaka kadondokea kwa mtoto mmoja humu, ila binti hamtaki 🤣🤣 leo kaja kuyamwaga hapa hapa 🤣🤣
Naona wewe na kichwa chako ndiyo mnaamka mkuu 😅
evening walking 🤪 🤪Naona wewe na kichwa chako ndiyo mnaamka mkuu 😅
Vijana mabikra ndiyo nyimbo zenu hizi 🤣 au siyo?
Bikra sie hatuna maneo kabisaa.. Plus haka ndio ka playlist zangu.. mida kama hii nakumbuka mbaaali 😎Vijana mabikra ndiyo nyimbo zenu hizi 🤣 au siyo?
Ordinary is a nice song 😍Bikra sie hatuna maneo kabisaa.. Plus haka ndio ka playlist zangu.. mida kama hii nakumbuka mbaaali 😎
View attachment 3478886
😅😅 leo nimejikuta mpwekee sanaaa.. mapenzi matamu sanaa, nimeamua kusikiliza hizi hasa hii alikuwa anaipendaOrdinary is a nice song 😍
Mbali wapi? si useme tu unakumbuka nyimbo uliyokua unambembelezea mpenzi baada ya kumchapa 💦😅
Pole na upweke, wimbo gani huu, siwezi kuplay hapa nilipo!😅😅 leo nimejikuta mpwekee sanaaa.. mapenzi matamu sanaa, nimeamua kusikiliza hizi hasa hii alikuwa anaipenda
View attachment 3478901
😀😃Aina hii ndo wanaume ukiachana nae atakwambia ulikua huna hata namba ya NIDA