ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 16,787
- 61,256
Basi niseme nimeghairiKususa susa, kudeka, viaibu aibu, hiyo ndiyo haiba ya kike. Yani ukifanya hivyo ndiyo kwanza unawavutia zaidi 😂
Basi niseme nimeghairiKususa susa, kudeka, viaibu aibu, hiyo ndiyo haiba ya kike. Yani ukifanya hivyo ndiyo kwanza unawavutia zaidi 😂
Hii nayo wataigeuza na kusema, wewe ni "sitaki nataka"Basi niseme nimeghairi
Sawa kiongozi 😂 😆😅😅😅.. Zina kazi maalumu hizo
Utasema tu 😂😂😂Hahahahaa nimeshindwa kumwekea wa mbuzi
😅😅😅 ni kwel na huwa nakafuatilia kimya kimya kajinga haka🤣🤣🤣🤣
Upo kweli?
SitakiKaone
Si hii nakutumiaKawaida
mkuu una delivery nataka vyote hivyo na ni wapi ?
Ngoja niendelee kuwazoom mnavyoruka ruka nione mtaishia wapi 😆 😂ephen_ mzuri nitumie msg mama
Sawa mkuu, nitakucheki. Nipate vitu hivyoBuguruni bwashee
Mie natoka pemba shekheSawa mangi
Kweli 😎
Si hizi comments unareply, utasemaje uzioniSioni asee,mara ya mwisho kuona ni mwezi umeisha baada ya haya marekebisho
Kaza hivyo hivyo, akuhangaikie kidogo 😅 😂Si hizi comments unareply, utasemaje uzioni
Asante mkuuSawa madam mzuri ila nakuzimia aseee🤣
Mtoto ni mzuri ila naona kachagua shida🤣🤣🤣( utani)