Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,775
- 27,194
Poa, njooYa kuku wa kienyeji ๐๐๐
Poa, njooYa kuku wa kienyeji ๐๐๐
Naja ๐๐Poa, njoo
Mpe dereva ๐นSi itakuja imeshasagika jamani๐๐,.
Haha atakula,. Ila ngoja nijaribu๐Mpe dereva ๐น
Welcome welcome ๐ฅณ๐Hapo kwenye sambusa sasa ๐๐๐๐๐
Saizi nadhani utakua ulishashiba na kusinzia kabisaHuwezi amini mpaka mda huu sijapata chai ngoja niende kwa Binti wa zamani kunywa chai ๐
Unakula vizuri huo wali umeacha mi ningebakiza Sahani nyeupe pee๐Done,. Nilewe nilale sasaView attachment 3476795
Dah๐Unakula vizuri huo wali umeacha mi ningebakiza Sahani nyeupe pee๐
Binti wa zamani Gen Z , kavimba na visugulio ๐คKaribu Enzo nipo nimejaa tele, nikupikie mayai ya aina gani?
Gen Z gani ndevu zimekomaa hivyo? Hizo ukishuka nazo kule naniliu hazichubui kweli? ๐Binti wa zamani Gen Z , kavimba na visugulio ๐ค View attachment 3478304
Nimesusa sitaki tena
vinatekenya tekenya hadi ๐ฆ๐ฆ.. vinapitishwa shingoniii huku pumzi ya flani ya motooo hivi kwa shingoo, trrii kati kati ya manyonyoo triiii.. Oooppps network error ๐ ๐Gen Z gani ndevu zimekomaa hivyo? Hizo ukishuka nazo kule naniliu hazichubui kweli? ๐
Aroooooooooooo, hebu utuache kidogo bado tuko makazini ๐๐vinatekenya tekenya hadi ๐ฆ๐ฆ.. vinapitishwa shingoniii huku pumzi ya flani ya motooo hivi kwa shingoo, trrii kati kati ya manyonyoo triiii.. Oooppps network error ๐ ๐
๐ ๐ ๐ .. Zina kazi maalumu hizo
Kususa susa, kudeka, viaibu aibu, hiyo ndiyo haiba ya kike. Yani ukifanya hivyo ndiyo kwanza unawavutia zaidi ๐Nimesusa sitaki tena