Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,853
- 27,435
Kesho ukisema tufute, tunagoma 😎 😅Sure master , mimi na wewe tupo fani moja ya utabibu , japo mimi ni nesi na mimi ni mkunga na
wewe ni md 🤣
Kesho ukisema tufute, tunagoma 😎 😅Sure master , mimi na wewe tupo fani moja ya utabibu , japo mimi ni nesi na mimi ni mkunga na
wewe ni md 🤣
Hahahah napumzika sana tu bwashee , ila nikipiga pesa nakula maisha kama hivi leo🤣🤣🤣We bwashe.. hakuna siku unapumzika ?? Mm mara moja moja Sana weekend naweza gusa mbili tatu baas
Mimi ni nesi na mkunga sifuti kitu hapaKesho ukisema tufute, tunagoma 😎 😅
Unataka kusemaje kwani? 😂Pesa haina makelele! Ogopa matapeli😁
Wewee tunapiga kelele na pesa tunazo ,kipi kiarabu hapo?Pesa haina makelele! Ogopa matapeli😁
Sawa mkuuWewee tunapiga kelele na pesa tunazo ,kipi kiarabu hapo?
Anataka kusema mshara wa milioni 4 kwa mwezi ndio pesa mingiUnataka kusemaje kwani? 😂
Mimi sio mkuu wako gademiiitSawa mkuu
Nitasema nini mie na wenye pesa zao washasema?😂Unataka kusemaje kwani? 😂
Duh mm hapana Man.... weekend tu tena nikitoka.... nisipotoka sigusi kabisa.. sometimes washkaji nawadanganya niko mbali kumbe home tu nimechill..Hahahah napumzika sana tu bwashee , ila nikipiga pesa nakula maisha kama hivi leo🤣🤣🤣
Ephn umesikiliza bandSawa mkuu
Sure bro ,toka kutana na wahuni , asie faa kafaa , hakuna mtu anaweza kukosa pesaDuh mm hapana Man.... weekend tu tena nikitoka.... nisipotoka sigusi kabisa.. sometimes washkaji nawadanganya niko mbali kumbe home tu nimechill..
Make najua nikienda huko ni kulewa tu😃
Hapana! Wanasema tuwe makini sana kuhusu link zinazotumwa humu kipindi hiki.Ephn umesikiliza band
Kumbe pesa ina kelele bhanaaa 😆 😅Nitasema nini mie na wenye pesa zao washasema?😂
Kwamba uko nilivyo tuma imekuja kama link?Hapana! Wanasema tuwe makini sana kuhusu link zinazotumwa humu kipindi hiki.
😅 na ni kweli utulize tu mshono , kipenzi changu😊Nitasema nini mie na wenye pesa zao washasema?😂
Hela ya kukodi chopa sina mkuu, ninayo ya kutosha kukaa Java 5 nights tu 😎Unakodi chopaa maMtu 😅😅..
Shida si dereva, ni namna ya kufika kule ilivyo na mambo mengi, ile milima na zile kona huwa zinanitisha sana.Mie ni dereva mzuri sana, siku ingine nipee kazi ya kukupelekea, hutokjwa na wasi wasi
Ngoja nikapitie Mejiii, 😂😂😂😂Nimekuwekea maana ya ujumbe wako kule kwetu kapitie shem 😂
Sasa itakuaje mimi niliyekosa vyote makelele na pesa😂Kumbe pesa ina kelele bhanaaa 😆 😅