Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,415
Lips na vishavu
Lips na vishavu
HongeraDah🤣
Aya bhana 😂Lips na vishavu
Sifa zako upewe, yanini kukubaniaAya bhana 😂
Uhakika mkuu.Kanyenye nimekaa kaa hapo ila jimboni kwa Samuel sitta huko nimekaa kaaga sana.
Kwanini umeuliza ivyo?Kwanini hua mnafuta picha?
Mumeo mu-hanshamu una haki umlinde 😹😹😹
Kakwambia bovu mpk aje garage? 😏Subaru Forester hiyo, tena ya 2015.
Mwambie aje gereji kwangu nina spare zake original😅
😹😹😹 Mwanaume anakuwaje mweupe??😂😂😂😂
Mie hata mwanaume mweupe race tofauti na ya huko mamtoni, simtakii, sijui naonaje? Binafsi namuona km mwenzangu tyuuh, watanisamehe.
Sasa nikikaa na brooh na dogo, huwa nawaulizaga hivi wachumba zenu wanawapendea nn? Sijui hata bangi ya wapi natumia.
😂😂😂😂😂😂
😳😳coc Huwa nahisi Kuna mtu hum unae kimahusiano ndo mana Kuna muda naamua kukupotezea, Kuna wengine hatunaga moyo wa uvumilivu coc, niambie nafac yang kwako, chapchap basi USIJE nifuma NAPIGA sound mtu hum coc pliz🙏♥️♥️🥀
Fullstop, kwishaaaaa
😹😹😹 Wewe sasa ndo unaitumia vpn kihalaliNisikilize coc nisikilize kwa umakini mi SIJAWAHI OWA, na sikia na mpango huo hivo we sikupangi love is really, nmetoa miaka minne anae kutaka akuowe ikiisha Sito kua na break baby you know how twin birds fly the heaven during day, I think I will be me and you and it will look awesome, love baby mwaaaa chaowww
Fullstop, kwishaaaaaaaa
Umenifananisha mi ni MGENI humu, naitwa bro alex SIJAWAHI sajili I'd tofauti na hii, and this is my really name ALEX au NMEKOSEA njia sio Mimi ulie ni target mkuu😳😳
Shem id yako ya zamani ipi? 😹
😹😹😹 Ndoa imekufataMiaka 4 si tayari ntakua na watoto juu? Utakubali kuanza game ikiwa tayari usha fungwa?
😂😂😂😂😂
Kapachino njoo ujifunze kutongoza 😹😹Sasa coc unafikiri nifanyeje, ili hali we hutak tuonane? au unatafutwa na usalama wa taifa? Niwewe tu ukitaka ata saivi you tell me tupeane location romance love ianze, sinaga show ndogo kwenye couple, utasahau hata hii jf am really sio muongo ndo MANA hata hili jina Alex ndo langu linatambulika NIDA,
Fullstop, kwishaaaaa
Etiiiiii 😹😹😹Utafiti upi? kwamba we ni me au mke wa jamaa? nisikilize Nina more alternative na Nisha jipanga kwa lolote mfano mbona Kuna surgery za kubadili vifanyio inabadili unawekewa nyapu na titi unawekew
Utafiti upi Yani kama we ni me au ni mke wa huyo JAMAAA? Kama ni me na umerizia kua ke si unafanya surgery unawekewa hormone replacement therapy, vaginoplasty ili usiingiliwe kinyume, labda kuongeza titiii na tako kidogo then unaanza ISHI poa bado sioni kama Kuna visibility yoyote japo mungu anachukia ndo Dunia na maana ya Dunia ni vitimbi vya wanadamu mungu tusamehe tusi fike huko but kama unamanisha we ni mke wa jamaa na umemuelewa mi sina pingamizi it upon you, we ndo unaechagua muelekeo kutokana na hisia znavo KUTUMA
Fullstop, kwishaaaaaaa
😹😹😹😹 mtcheeewwHapo Hujarogwa? Je ukirogwaa?
😂😂😂😂😂
Umenifananisha mi ni MGENI humu, naitwa bro alex SIJAWAHI sajili I'd tofauti na hii, and this is my really name ALEX au NMEKOSEA njia sio Mimi ulie ni target mkuu
Fullstop, kwishaaaaa