Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂
Mie hata mwanaume mweupe race tofauti na ya huko mamtoni, simtakii, sijui naonaje? Binafsi namuona km mwenzangu tyuuh, watanisamehe.

Sasa nikikaa na brooh na dogo, huwa nawaulizaga hivi wachumba zenu wanawapendea nn? Sijui hata bangi ya wapi natumia.
😂😂😂😂😂😂
😹😹😹 Mwanaume anakuwaje mweupe??
 
coc Huwa nahisi Kuna mtu hum unae kimahusiano ndo mana Kuna muda naamua kukupotezea, Kuna wengine hatunaga moyo wa uvumilivu coc, niambie nafac yang kwako, chapchap basi USIJE nifuma NAPIGA sound mtu hum coc pliz🙏♥️♥️🥀



Fullstop, kwishaaaaa
😳😳
Shem id yako ya zamani ipi? 😹
 
Nisikilize coc nisikilize kwa umakini mi SIJAWAHI OWA, na sikia na mpango huo hivo we sikupangi love is really, nmetoa miaka minne anae kutaka akuowe ikiisha Sito kua na break baby you know how twin birds fly the heaven during day, I think I will be me and you and it will look awesome, love baby mwaaaa chaowww



Fullstop, kwishaaaaaaaa
😹😹😹 Wewe sasa ndo unaitumia vpn kihalali
Ongeza nyama nyama shemeji mpk coca akubali..!! 🤣
 
😳😳
Shem id yako ya zamani ipi? 😹
Umenifananisha mi ni MGENI humu, naitwa bro alex SIJAWAHI sajili I'd tofauti na hii, and this is my really name ALEX au NMEKOSEA njia sio Mimi ulie ni target mkuu


Fullstop, kwishaaaaa
 
Sasa coc unafikiri nifanyeje, ili hali we hutak tuonane? au unatafutwa na usalama wa taifa? Niwewe tu ukitaka ata saivi you tell me tupeane location romance love ianze, sinaga show ndogo kwenye couple, utasahau hata hii jf am really sio muongo ndo MANA hata hili jina Alex ndo langu linatambulika NIDA,


Fullstop, kwishaaaaa
Kapachino njoo ujifunze kutongoza 😹😹
 
Utafiti upi? kwamba we ni me au mke wa jamaa? nisikilize Nina more alternative na Nisha jipanga kwa lolote mfano mbona Kuna surgery za kubadili vifanyio inabadili unawekewa nyapu na titi unawekew

Utafiti upi Yani kama we ni me au ni mke wa huyo JAMAAA? Kama ni me na umerizia kua ke si unafanya surgery unawekewa hormone replacement therapy, vaginoplasty ili usiingiliwe kinyume, labda kuongeza titiii na tako kidogo then unaanza ISHI poa bado sioni kama Kuna visibility yoyote japo mungu anachukia ndo Dunia na maana ya Dunia ni vitimbi vya wanadamu mungu tusamehe tusi fike huko but kama unamanisha we ni mke wa jamaa na umemuelewa mi sina pingamizi it upon you, we ndo unaechagua muelekeo kutokana na hisia znavo KUTUMA


Fullstop, kwishaaaaaaa
Etiiiiii 😹😹😹

Muhimu wewe uwe na coca jinsia yake sio shida zako..!! 🤣
Kwa mara ya kwanza nimeona mwanaume anayependa, coca kazi kwako huu upendo wa Agape sio wa kawaida..!!

Shemeji kajiandaa mpk kukufanyia surgery kutuziba midomo waja..!! 🙌
 
Umenifananisha mi ni MGENI humu, naitwa bro alex SIJAWAHI sajili I'd tofauti na hii, and this is my really name ALEX au NMEKOSEA njia sio Mimi ulie ni target mkuu


Fullstop, kwishaaaaa
 

Attachments

  • IMG_5816.jpeg
    IMG_5816.jpeg
    46.7 KB · Views: 11
Back
Top Bottom