Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Somo la uraia ulikua vizuri sana.si mv bukoba ili zama mwaka huo, kitambo niko rada.
Hongera kwa kupatia.
Somo la uraia ulikua vizuri sana.si mv bukoba ili zama mwaka huo, kitambo niko rada.
Yeah usiwe unachukulia serious sana.Ni kweli
👊Yeah usiwe unachukulia serious sana.
Amkia wakubwa weweSomo la uraia ulikua vizuri sana.
Hongera kwa kupatia.
Hahaha hizi soksi za pundamilia Mzee sumbai huyu bwana mdogo Intelligent businessman anazijua kweli.Amkia wakubwa wewe
😍4 sure 😅
Basi Rudia unitumie na pesa mimiUngesema nirudie tu bila kuweka hela mbele.
Hahahaha umenikumbushaaa ngoja namimi nitafute nitupieeeHahaha hizi soksi za pundamilia Mzee sumbai huyu bwana mdogo Intelligent businessman anazijua kweli.
View attachment 3466017
Sawa ila napita kwa speedBasi Rudia unitumie na pesa mimi
Mbona Naona Saaa hapo.... Yaan pua na mdomo sioni,
Kha! Una makengeza? Midomo na pua si ipo wazi kabisa!Mbona Naona Saaa hapo.... Yaan pua na mdomo sioni,
Si unajua Una tule tulips twako
Miaka hiyo shule yangu ulikua hujui mlango ni upi na dirisha ni lipi!Hahahaha umenikumbushaaa ngoja namimi nitafute nitupieee
We mzee usi tuletee miyeyusho, 96 parefu ujue.
Shikamoo mkuu.Mwaka 96 nilikuwa nina miaka miwili tangu nistaafu kazi
Nini hiki?? Ndio hiki watu walikuwa wanatumia kumulikia mbususu unakirudisha mezani,View attachment 3466039
Enzi hizo ni mwendo wa Vibatari tu.
Tulikuwa hatuwazi kwamba Umeme wa REA ungefika Vijijini kama ilivyo sasa
Hongera sana MkuuShikamoo mkuu.
Huu mwaka niliandikishwa nursery pale st Patrick mji kasoro....
Sisi tulikuwa tuna tiwa stick usipopitia mlangoniMiaka hiyo shule yangu ulikua hujui mlango ni upi na dirisha ni lipi!
Mwalimu akiilingia huku unatokea huku