Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nini hiki?? Ndio hiki watu walikuwa wanatumia kumulikia mbususu unakirudisha mezani,

Unarudi tena kutafuta
Ukienda Mwanza Kuna mtaa kabisa unaitwa Makoroboi

Mikoa ya Pwani waliita Kibatari/Koroboi

Ulikuwa unaweka utambi+mafuta ya taa then unawasha kwaajili ya kupata mwanga
 
Hahahaha noma sanaa.

Shule ya msingi unasoma paka na besen??

Nyinyi ndio mlikuwa mnasomea mkoa mZima
Enzi izo pale shy shule yetu ilikua ikitoa sana kwenda secondary ni watu wawili watatu. Kwaiyo kukaza ilikua ni lazima

Wilaya nzima ilikua na shule mmoja tu ya serikali nayo ni uhuru secondary school.
 
Enzi izo pale shy shule yetu ilikua ikitoa sana kwenda secondary ni watu wawili watatu. Kwaiyo kukaza ilikua ni lazima

Wilaya nzima ilikua na shule mmoja tu ya serikali nayo ni uhuru secondary school.
Noma saana mzeee.

Ulikuwa ukitusua we kichwa saana.....
 
Noma saana mzeee.

Ulikuwa ukitusua we kichwa saana.....
Maisha haya nilikuwaga naitwa mtaalam wa maarifa ya jamii.

Class letu ndio lilivunjaga rekodi kwenye history ya kufaulisha.

Tulifaulu watu sita tu.
 
Back
Top Bottom