Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,798
- 57,313
Ukienda Mwanza Kuna mtaa kabisa unaitwa MakoroboiNini hiki?? Ndio hiki watu walikuwa wanatumia kumulikia mbususu unakirudisha mezani,
Unarudi tena kutafuta
Mikoa ya Pwani waliita Kibatari/Koroboi
Ulikuwa unaweka utambi+mafuta ya taa then unawasha kwaajili ya kupata mwanga