Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Proudly Tanzanians njoeni tuwake View attachment 3447369
Enzi za mafundisho church hivi vitu tulikuwa tunaonja sana 😹😹

Halafu father alikuwa muholanzi siku aliyotushtukia tulisemwa kwenye misa ya kwanza Hadi ya tatu..!! 😹😹

Sasa kulikuwa na sis angu na shost wake wanaendaga wanakoishi ma father na mafrateli na sisi wadogo zao tukawa tunaunga aiseee nyie hao mafaza wanakula bata sio pouwa..!! 😹😹

Shosti ake sis mpk akazaa na mmoja wao, mengine ni hatari 🤐
 
Kesho kuna pilau kwa jirani mie niponipo tu mpaka saii sijui haka kakichwa kangu ntakafanyeje sina kiuno cha kukaa kusuka na seleka zitaanza mapema sana!
Lovelovie ephen_ min -me naombeni mwongozo pulllliiiiiiiizzzz!!!

Mtanibip kunijuza nifanyeje nimechoka narrarra mieeh!!


Kesho nayo siku wapendwa 💤💤💤💤😴😴😴😴😴😴
Vaa wig
 
Hahahaha kumbe nawapangaga😅
We mtu gani kila siku unaleta watu wapya? 😹

Kuna siku ulurusha pic ya mtu namfahamu mwanzo mwisho nilicheka mpk machozi ila nikazuga..!! Na ni mchaga pure kwa baba na mama, nawe ulisema mchaga.

Mwanzo nikajua ni wewe kweli so nikaogopa nikajua ungenitambua ila baadae ulivyotupia mwingine nikasema min kumbe anatupanga 😹😹😹
 
We mtu gani kila siku unaleta watu wapya? 😹

Kuna siku ulurusha pic ya mtu namfahamu mwanzo mwisho nilicheka mpk machozi ila nikazuga..!! Na ni mchaga pure kwa baba na mama, nawe ulisema mchaga.

Mwanzo nikajua ni wewe kweli so nikaogopa nikajua ungenitambua ila baadae ulivyotupia mwingine nikasema min kumbe anatupanga 😹😹😹
Hahaha sijawahi wapanga kamwe , kwanza umenifahamu wapi? Unajua hapo kariakoo padogo😅
 
Back
Top Bottom