Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,850
Sasa unatusumbua vya nini? 😹Picha hakuna lamo
Sasa unatusumbua vya nini? 😹Picha hakuna lamo
Si mmesema tutafute magari ata ya urithi tuTutakoma tusio na magari safari hii 😹😹😹
Enzi za mafundisho church hivi vitu tulikuwa tunaonja sana 😹😹Proudly Tanzanians njoeni tuwake View attachment 3447369
Ila umejikomboa mdogoangu kuliko kutembea huku unaacha mguu mmoja nyuma au kukimbilia mwendokasi km mimi 😥😹😹Si mmesema tutafute magari ata ya urithi tu
😂😂 vya muda hivi nikirudi arusha narudi mwenyewe na liachaIla umejikomboa mdogoangu kuliko kutembea huku unaacha mguu mmoja nyuma au kukimbilia mwendokasi km mimi 😥😹😹
Kwahiyo km unatupanga tusitoe maoni yetu 😹😹Now sitafanya hivyo kamwe , mnasema nikiselfika sio sio mimi , poor mind 🥲🥲🥲
Hahahaha kumbe nawapangaga😅Kwahiyo km unatupanga tusitoe maoni yetu 😹😹
Vaa wigKesho kuna pilau kwa jirani mie niponipo tu mpaka saii sijui haka kakichwa kangu ntakafanyeje sina kiuno cha kukaa kusuka na seleka zitaanza mapema sana!
Lovelovie ephen_ min -me naombeni mwongozo pulllliiiiiiiizzzz!!!
Mtanibip kunijuza nifanyeje nimechoka narrarra mieeh!!
Kesho nayo siku wapendwa 💤💤💤💤😴😴😴😴😴😴
We mtu gani kila siku unaleta watu wapya? 😹Hahahaha kumbe nawapangaga😅
Hahaha sijawahi wapanga kamwe , kwanza umenifahamu wapi? Unajua hapo kariakoo padogo😅We mtu gani kila siku unaleta watu wapya? 😹
Kuna siku ulurusha pic ya mtu namfahamu mwanzo mwisho nilicheka mpk machozi ila nikazuga..!! Na ni mchaga pure kwa baba na mama, nawe ulisema mchaga.
Mwanzo nikajua ni wewe kweli so nikaogopa nikajua ungenitambua ila baadae ulivyotupia mwingine nikasema min kumbe anatupanga 😹😹😹
Unajua huyo jamaa tulisoma wote MU yani namfahamu kuliko unavyofikiria ilibaki kidogo anikule, nishamuoshesha vyombo sana vikenge 😹😹😹Hahaha sijawahi wapanga kamwe , kwanza umenifahamu wapi? Unajua hapo kariakoo padogo😅
Ile picha ya juzi niliweka kuna mtu alinitaja hadi jina pm ,halafu ni I'd mpya , hizi mambo za kuselfika sitafanya tenaUnajua huyo jamaa tulisoma wote MU yani namfahamu kuliko unavyofikiria ilibaki kidogo anikule, nishamuoshesha vyombo sana vikenge 😹😹😹
Inawezekana kweli nilishakaribia kukukula lomo😅Sio wewe ila ulimpost kutupanga.. 😹😹
Kwa ile ya mwaka jana sio wewe 😹😹Ile picha ya juzi niliweka kuna mtu alinitaja hadi jina pm ,halafu ni I'd mpya , hizi mambo za kuselfika sitafanya tena
Mbona za mwaka jana hata sikua naweka sura kihivyo?Kwa ile ya mwaka jana sio wewe 😹😹
Hizi za juzi sijui
Yule sio wewe namfahamu bana 😹😹Inawezekana kweli nilishakaribia kukukula lomo😅
Sasa mimi nikamtolea wap?😆Yule sio wewe namfahamu bana 😹😹
Bora nisingelala, nimeota lindoto la hovyo halafu halitoki kichwani.Umeshalala?