min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,263
- 127,185
Ndoto gani?Bora nisingelala, nimeota lindoto la hovyo halafu halitoki kichwani.
Ndoto gani?Bora nisingelala, nimeota lindoto la hovyo halafu halitoki kichwani.
Uliweka tena hukuziba sura, nikasema si …. Huyu?!! 😹😹Mbona za mwaka jana hata sikua naweka sura kihivyo?
Yaishe mwenzio ninakoelekea nitaharibu hapa..!! 😹😹😹Sasa mimi nikamtolea wap?😆
Insta hata sijawahi ipakua , labda ulitufananisha ,ebu itoe insta upost hapaUliweka tena hukuziba sura, nikasema si …. Huyu?!! 😹😹
Nilivyoingia insta nikaikuta na ile pic uliyopost nikamtega na vi maswali vyangu nikajua hata hajui km yupo JF 🤣
Nakimbizwa kimbizwa na majitu yasiyoeleweka 😂Ndoto gani?
Hayajaisha , inawezekana nakujua lamo 😆Yaishe mwenzio ninakoelekea nitaharibu hapa..!! 😹😹😹
Siwezi nitakua namvunjia heshima mwanangu sana E 😹😹😹Insta hata sijawahi ipakua , labda ulitufananisha ,ebu itoe insta upost hapa
Hahaha pole sana, ulikula magimbi ndio ukalala?Nakimbizwa kimbizwa na majitu yasiyoeleweka 😂
Ngoja kwanza E ni herufi ya kwanza ya jina langu la nyumbani ujue🤣Siwezi nitakua namvunjia heshima mwanangu sana E 😹😹😹
😹😹😹 Sio wewe ungeshanijua mapema sana humu..!!Ngoja kwanza E ni herufi ya kwanza ya jina langu la nyumbani ujue🤣
Lamooo🙄🙄
Niko kwenye diet magimbi ya wapi sasa, nimekunywa kamchemsho kangu na nikasubiri masaa 3 kabla sijaenda kulala 😂Hahaha pole sana, ulikula magimbi ndio ukalala?
Kariakoo mitaa ya pharmacy unajuana na mtu yeyote? Kipindi cha nyuma?kwenye 2013 2014😹😹😹 Sio wewe ungeshanijua mapema sana humu..!!
😁 unakanywa na kulala tena?Niko kwenye diet magimbi ya wapi sasa, nimekunywa kamchemsho kangu na nikasubiri masaa 3 kabla sijaenda kulala 😂
Sio wewe usiumize kichwa huyo mtu nimekwambia tulikutana MU okay? 😹Kariakoo mitaa ya pharmacy unajuana na mtu yeyote? Kipindi cha nyuma?kwenye 2013 2014
Hahahaha kumbe😆 ila picha zangu zote ni mimi ujinga wa kupost picha za mwanaume mwingine na mimi ni mwanaume siwezi fanya kamweSio wewe usiumize kichwa huyo mtu nimekwambia tulikutana MU okay? 😹
Huyu ni wewe?
MchumbaCheers🍻
.Huyu ni wewe?