Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,775
- 27,197
Nimecheka kama mjinga 😂 😂 😂
Hata simjui nazurura tiktok namkuta tu🤣Huyu mchungaji gani Mangi?
Eti "Kumbe ana kijiji, akiwapakia mwendo kasi mnajaa na kubaki 😂 😂 😂"
Huyu mchungaji gani Mangi?
Eti "Kumbe ana kijiji, akiwapakia mwendo kasi mnajaa na kubaki 😂 😂 😂"
Daaah, hatari sana 😂Hata simjui nazurura tiktok namkuta tu🤣
Umeshalala?Nimecheka mpaka tumbo limeuma, daaaah 😂
"Huna urembo, wewe ni mteremko" 😂😂😂😂 hadi kwenye majumba ambayo hayajaisha bado, wanakulaza laza kama una kifafa 😂
Huyu mchungaji 🙌🙌🙌
Cheers🍻Ndiyo,rudia tu picha
Najua wewe mlevi,japo hunamzidi kaka yangu MLEVi Mmoja, @Billdrago Jack Palladino na Kalumbu geraldincredible
Njema saana,😍Asante sana,za masiku mpendwa
jokes banared na wew ushaambukizwa uchawi 🤣🤣🤣🤣
😍😍😍🥰 Wifi HongeraHebu nitag kwenye huo uzi mwenzio nalea kwa sasa hata kushika simu uvivu dogo ni mliaji hatari 😩
Kweli bana 😹😂😂😂 wee muongoo!!
Nitupie nikiwa nahesabu magunia ya mahindi au? 😹😹😹Ukitupia, na mie natupiaa uduguu. 😂😂😂😂
Tutakoma tusio na magari safari hii 😹😹😹
Umependeza daddie 😹😹😹
Picha iko wapi?
Picha hakuna lamoPicha iko wapi?
Mwanaume unakuwaje model em njoo unisaidie kuweka dawa mahindi..!! 😹WAKUU Mimi ni MGENI humu naitwa prince Alex khalifa najishughulisha na mitindo, comedy& football. Asanteni sana