sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Tupia namimi nitupieeeeeUkitupia, na mie natupiaa uduguu. 😂😂😂😂
Tupia namimi nitupieeeeeUkitupia, na mie natupiaa uduguu. 😂😂😂😂
Hebu nitag kwenye huo uzi mwenzio nalea kwa sasa hata kushika simu uvivu dogo ni mliaji hatari 😩😹😹😹
Nimeacha ss hivi nimeokoka wii..!!
Hivi uzi wa vayolensi uliupitia? Kiliwaka huko balaa..!! Sijakuona wii wangu nikajua unamuhudumia kaka uko busy 🤣😹😹
😀😀 mbona hakuna attachment
Aisee nimechukua leo ili niutafute wimbo wote...
Picha iko wapi?
Mbeumo habari yako😃Si unaona umeshinda ila hauna hata Raha 🤣🤣🙌 hiyo timu itakuja kukupa presha ufwariki hamia chama la wana Man UTD 🥰