min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,332
- 127,388
BroBro... you good? You actin lowkey different man...
BroBro... you good? You actin lowkey different man...
Sikujua ndugu yangu... nisamehe bure bwashee..Naisikiliza hi ngoma boss 🧐 kali kiouma bob
man i just cant believe that we've been messing around with the same damn girl....Kaka hii ngoma wadada wajinga wa jinga wa bongo wataewa kweli?
Mimi nipo mbona MkuuUmepotea sana mkuu
Nicheki basi mkuu nina shida kidogo na weweMimi nipo mbona Mkuu
Nicheki mwenyeweNicheki basi mkuu nina shida kidogo na wewe
Nilitoka kidogo, ila sasa nimerudi 😊Upo!?
Wapi sasa mkuu pm iko blockedNicheki mwenyewe
ChicaNicheki mwenyewe
Kwani Mkuu hauwezi kuongea hapa?Wapi sasa mkuu pm iko blocked
AbeeeChica
Tunaongeaje sasa hapa mambo privateKwani Mkuu hauwezi kuongea hapa?
Siwezi kufungua Pm bila sababu, kwani hiyo issue inahusu nini kwanza tuanzie hapo huenda nikafikiria kukufunguliaTunaongeaje sasa hapa mambo private
Si utajua huko huko pm chica 😹😹Siwezi kufungua Pm bila sababu, kwani hiyo issue inahusu nini kwanza tuanzie hapo huenda nikafikiria kukufungulia
Sawa ngoja nikupe namba mkuu unicheki ukiwa freeSiwezi kufungua Pm bila sababu, kwani hiyo issue inahusu nini kwanza tuanzie hapo huenda nikafikiria kukufungulia
We nae tulia kila mwanamke unamtaka wewe muache chica apate bebe 😹😹😹Chica