Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,918
Wakinga siku hizi kokote kambi hatuogopi ๐น๐น๐นWakinga nawajua na tupo nao humu , na kariakoo nilikua nao , ๐๐๐๐๐๐
Wakinga siku hizi kokote kambi hatuogopi ๐น๐น๐นWakinga nawajua na tupo nao humu , na kariakoo nilikua nao , ๐๐๐๐๐๐
Mimi nikiwaambia ni mchaga mafia zaidi ya mafia hawawezi nielewa hawa viaziWakinga siku hizi kokote kambi hatuogopi ๐น๐น๐น
Anaweza kung'ang'ania anataka kuja kwa Maka hata kusugua choo ๐ ๐Ila coca mjeuri hawezi kukubali yule ๐น๐น
Unisaidie kumfungia ndani asije kuchungulia location akanifata ๐คฃ
Yeye akusanye kufata tunafata wenyewe, asije kujichagulia ukali halafu akatutumia lonya bure..!! ๐น๐น๐นsema mangi wako anaringa ๐คฃ sidhani kama atafikisha mzigo wetu salama
Utani madam usijali ujue๐Kulombana tena?
We em jiheshimu mfyuuu..!!
๐ป๐ป๐ป Ewaaaahh..!!nitakuletea na dagaa wa kigoma ๐๐๐๐
si umesema mwenyew hapaMhmmm utajuaje ni kwel?
Madam huu uzi ni wetu na tutambe naoAnaweza kung'ang'ania anataka kuja kwa Maka hata kusugua choo ๐ ๐
Ila nitamfungia, maana najua utatuomba tu msaada ๐ .
Uchochezi madamsi umesema mwenyew hapa
๐๐๐Mimi nikiwaambia ni mchaga mafia zaidi ya mafia hawawezi nielewa hawa viaziView attachment 3439216
mimi tenah๐Uchochezi madam
Yule bana mbishi sana atalazimisha kutaka kwenda kufuta hata buibui ili akashuhudie tu ๐น๐น๐นAnaweza kung'ang'ania anataka kuja kwa Maka hata kusugua choo ๐ ๐
Ila nitamfungia, maana najua utatuomba tu msaada ๐ .
Unipe zawadi ya bure your prince hakeem.๐๐๐
Km hizo ulizovaa min kusanya za kutosha nije niwauzie wanachuo km mshamba_hachekwi ๐น๐น๐น
hivi huy lastborn hajamaliza kusomea udaktari tu๐๐๐
Km hizo ulizovaa min kusanya za kutosha nije niwauzie wanachuo km mshamba_hachekwi ๐น๐น๐น
Taja mzigo ,mimi nakupa hata nguo zangu bure tu๐๐๐
Km hizo ulizovaa min kusanya za kutosha nije niwauzie wanachuo km mshamba_hachekwi ๐น๐น๐น
Ok... hii nimerudia.. selfika na wewe nikuone...basi selfka ukiwa haupo kweny jet naweza kuangukia baba wa wanangu ujue ๐ค๐ค