Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimeona Maka 😍😍😍
Ila uko muhanshamu maka 🥰

Kumbe humu kuna mikaka mizuri na hamsemi kwanini?? 😊
Hamtaki tumix blood 🤣

Ila inaonekana wewe ulikua unawabambia wenzio skonga 😹
Nashukuru kesi imeisha lamomy

We mwaume hawi mzuri, tengua kauli

A level, nimesoma shule ya midume tupu
 
Yeah now mimi ni mwembamba coz nakunywa pombe kali now na tizi, hizi picha natuma siku za karibuni na za kipindi cha nyuma ila za kipindi cha nyuma jana nimefuta zote ,hivyo nizoee tu ila nashangaa iweje wewe uhoji wakati hadi sura unanijua?
Sikumbuki sura, nilifuta picha zenyewe nilidhani sio wewe unanipanga tu.
 
Yeah now mimi ni mwembamba coz nakunywa pombe kali now na tizi, hizi picha natuma siku za karibuni na za kipindi cha nyuma ila za kipindi cha nyuma jana nimefuta zote ,hivyo nizoee tu ila nashangaa iweje wewe uhoji wakati hadi sura unanijua?
Kumbe na sura mnatumiana 😜
Haya tuwekee na sisi sura tuone 😹😹
 
Back
Top Bottom