Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,213
- 86,850
Au sio 😹😹Hamna tabu we njoo tu, wifi yako huwa anasafiri na NDONGA 🥒 langu 🤣😂
Au sio 😹😹Hamna tabu we njoo tu, wifi yako huwa anasafiri na NDONGA 🥒 langu 🤣😂
Nashukuru kesi imeisha lamomyNimeona Maka 😍😍😍
Ila uko muhanshamu maka 🥰
Kumbe humu kuna mikaka mizuri na hamsemi kwanini?? 😊
Hamtaki tumix blood 🤣
Ila inaonekana wewe ulikua unawabambia wenzio skonga 😹
Sikumbuki sura, nilifuta picha zenyewe nilidhani sio wewe unanipanga tu.Yeah now mimi ni mwembamba coz nakunywa pombe kali now na tizi, hizi picha natuma siku za karibuni na za kipindi cha nyuma ila za kipindi cha nyuma jana nimefuta zote ,hivyo nizoee tu ila nashangaa iweje wewe uhoji wakati hadi sura unanijua?
Imeisha maka wangu 😍😍Nashukuru kesi imeisha lamomy
We mwaume hawi mzuri, tengua kauli
A level, nimesoma shule ya midume tupu
Nikupange ili iweje ? Tatizo lenu mmeathiriwa na picha za vijana wa hovyo 😅😅😅Sikumbuki sura, nilifuta picha zenyewe nilidhani sio wewe unanipanga tu.
Namlia timing...Kaka kumbe na wewe unamvizia mtoto mzuri lamo ? Si kuna kipindi ulisema ni kidume bwashee 🤣🤣🤣🤣( utani)
HahahhaahaNamlia timing...
min -me amepata ptsd kwa ajili yako kwanini unamfanyia hivyo jamaa yangu?Mbavu - misuli mingi mnene kiasi
Model - mwebamba
nipo mkuu vip umepita naked irudiwe au bado 🤗
Nilikuambia badilisha I'd una soundi kama kidume gademiiitnipo mkuu vip umepita naked irudiwe au bado 🤗
Ugonjwa wa stress😅Ptsd ndio nini
Kumbe na sura mnatumiana 😜Yeah now mimi ni mwembamba coz nakunywa pombe kali now na tizi, hizi picha natuma siku za karibuni na za kipindi cha nyuma ila za kipindi cha nyuma jana nimefuta zote ,hivyo nizoee tu ila nashangaa iweje wewe uhoji wakati hadi sura unanijua?
ptsd ni kisukari, kwanini unasababisha min-me anapata kisukari?Ptsd ndio nini
nipo kwenye mchakato kaka mkubwaNilikuambia badilisha I'd una soundi kama kidume gademiiit
Na wewe unaamini anapata kisukari kwa mtu ambaye hajawahi kumuona?ptsd ni kisukari, kwanini unasababisha min-me anapata kisukari?
Uwongooooooooooptsd ni kisukari, kwanini unasababisha min-me anapata kisukari?
vyote vyote ila nipo kwenye mchakato 😆😆😆😆Mchakato wa nyokwe🤣