Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Daah 😄😄,. Eti maziwa Lita 100
Lita 1 ya maziwa shilingi 100

Baiskeli ya phoenix (hizo alizogawa Mama Samia juzi) ilikuwa shilingi 18,500 lakini ukizihesabu Kijiji kizima utakuta ni watu wawili ama mmoja pekee ndiyo anamiliki 😅🙌

Wazee wenu tumekula chumvi nyingi ujue
 
Screenshot_20250811-214949.png
 
Back
Top Bottom