Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,901
- 27,594
Aaaah wewe mbona kishaeleweka.
Mimi sina kitu, acha niende nikajichotee kwenye wallet ya bichwa 😂
Aaaah wewe mbona kishaeleweka.
Hela ikikaa kihasara hasara mm napita nayo
Hivi na jero ipo? 😹Me naomba tu hako ka lip therapy
Na jero Hiyo sikuiona hapo chini😁😁
Bichwa km bichwa 😹😹Aaaah wewe mbona kishaeleweka.
Mimi sina kitu, acha niende nikajichotee kwenye wallet ya bichwa 😂
Anakoroma tu, hapa hata nikichukua mpaka nguo zake za ndani, kauli hana 😂 😂Bichwa km bichwa 😹😹
😹😹😹 Mwachi akiona pesa anachanganyiwa..!!Akiiona Mwachiluwi ataitaka,
Bora we una liten nauli kabisa hiyo,
Me na afu mbili yangu sijui naingilia wapi😂😂😂😂
Hapo naona 2500 napata gb 1 na dakika 55 mitamdao yoteAah Ile Ile ya Yas tajiriiiiii,.
Me nimemwaga pochi hapa naona mapicha pichaView attachment 3437282
Njoo uchukue 😹Naiomba iyo 10k naona ina zagaa imekaa kihasala sna 😂😂
Aaah hiyo mirenda asubuhi hii ni kukaribisha njaa tu jirani,.😹😹😹 Mwachi akiona pesa anachanganyiwa..!!
Hiyo afu mbili mbona unyama unanunua bamia unakoroga mlenda ki waifu material kabisaa..!!
Bajeti ya 2000😹😹😹 Mwachi akiona pesa anachanganyiwa..!!
Hiyo afu mbili mbona unyama unanunua bamia unakoroga mlenda ki waifu material kabisaa..!!
Namtuma boda boda chapNjoo uchukue 😹
Eti Gb Moja na dakika 55,. Yaani ushapiga hesabu kabisa mwe!😂👊Hapo naona 2500 napata gb 1 na dakika 55 mitamdao yote
Ndio bado kuingia ili ili nijiunge sasa 😂😂Eti Gb Moja na dakika 55,. Yaani ushapiga hesabu kabisa mwe!😂👊
😹😹😹 Wewe uko vizuri unajichukulia mshiko kwa bichwa..!!Anakoroma tu, hapa hata nikichukua mpaka nguo zake za ndani, kauli hana 😂 😂
Yeesoo!Bajeti ya 2000
Dagaa za jero
Bamia 200
Nyanya chungu 300
Nyanya 300
Kitunguu 100
Unga wa dona robo 700
Ahahah sio kupanga tu kuoa na kumpa hela mwanamke aende sokoni 😂Yeesoo!
Hayo mahesabu hesabu ndio yanafanya nishindwe kwenda kupanga
😹😹😹 Sa soda utashushia na nini?Aaah hiyo mirenda asubuhi hii ni kukaribisha njaa tu jirani,.
Wala sitaki Bora ninywe soda
Na chapati na viazi vya mama Leejay😂😂😹😹😹 Sa soda utashushia na nini?
Hapo ni kwenda kuzitoa ATM tu jirani, mi mwenzio nimechalala sielewi ujue..!! 😹Aah Ile Ile ya Yas tajiriiiiii,.
Me nimemwaga pochi hapa naona mapicha picha Lamomy View attachment 3437282