Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na wakati mwingine bichwa unalibana na mapaja mpaka anabembeleza na machozi umpanulie kidogo.
Yani kichwa hicho hicho ndiyo kikasimamie maisha yangu, hapana kwa kweli 😂 😂
😹😹😹 Falah weeh…!!
Nimecheka hadi machozi
 
😹😹😹 Mwachi akiona pesa anachanganyiwa..!!

Hiyo afu mbili mbona unyama unanunua bamia unakoroga mlenda ki waifu material kabisaa..!!
Bajeti ya 2000
Dagaa za jero
Bamia 200
Nyanya chungu 300
Nyanya 300
Kitunguu 100
Unga wa dona robo 700
 
Back
Top Bottom