cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Shangazii nifundishe kupikaa, au unataka ukose ankoliii?Si nilikwambia uje haukuja mwaliko huo nikuletee na kadi auππ
ππππππ
Shangazii nifundishe kupikaa, au unataka ukose ankoliii?Si nilikwambia uje haukuja mwaliko huo nikuletee na kadi auππ
Nimependa kucha zako, mie siwezi kufuga, lazima nitazitafuna.Njoeni tulewe kiuanafunziView attachment 3436946
πππππ jamanii em muombe radhi T akee.Ya Anko T inabamba sana
Anaongea utasema anabwekaπππ
Unasuka siku hizi dyadyaaa?!ππ½
Zamani nilikua hivyo hivyoππ,.Nimependa kucha zako, mie siwezi kufuga, lazima nitazitafuna.
πππππππ
Si bora wakuite cheupe tu πMzungu poriii, ππππ
Jamanii sipendagi kuitwa hivyo mie. Nachukiaa.
πππππ
Yaan, mara wakuite kampyukuuu.Si bora wakuite cheupe tu π
Bas nitajaribu thou, ππππZamani nilikua hivyo hivyoππ,.
Paka rangi ya jelly inavuta sana kucha
Fanya hivyo,.Bas nitajaribu thou, ππππ
Taratibu mfundishe na yeye anywe hamtasumbuanaSaivi ningekua nimelala nimeficha kwenye kabati konyagi nusu kwenye kabati ngoja nikainywe kisirisirii..
Mke WANGU hapendi ninywe pombe kabisa na ni kinywa alijua ni UGOMVII USIO NA SABABU yaani hapendi ninywe pombe kabisa kabisa...
πππKesho nitakuja niandike Uzi jinsi ya kupika chips
Hivi zinapikwa au zinakaangw?ππ. Mwachiluwi
View attachment 3437011
Huu sasa ni uongo,. Chips hazina chochote unasalivate nini sasa ππππππππ
πππππHuu sasa ni uongo,. Chips hazina chochote unasalivate nini sasa πππππ
Namba yako ipi inapokea hela?πππππ
Ile ile unayoijua, πππNamba yako ipi inapokea hela?
Ninazo mbiliIle ile unayoijua, πππ
Kampyukuuu ndiyo nini?Yaan, mara wakuite kampyukuuu.
ππππππ
Ya halotel.Ninazo mbili