Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe eng mbabe wavita...

Hamna wakukupopoa humu

Mimi kwanza takulinda Kwa lolote lile
Aririiiiiiiiiii!! Mzee wa hall V Em niaminishe ulinzi thabiti km kweli upoo?
😂😂😂😂😂
 
Weee


Mimi hamna MTU wakunipiga tukio, nilipigwa mwaka 2014 when I was new comer...

11 years now, hamna chaka silijui jf
Ena Figo alikupiga tukio, 😂😂😂😂
Nimekumbukaaa, woiiiiih
 
😂😂😂😂😂
Kuna mtu aliwahi nambia, siku tukae mie na Anco T tuchambane,
Kuna maneno mapya yataibuka ambayo hayajawahi kusikikika
😂😂😂😂😂😂
Hee
Hicho kichambo sikipatii picha
Ila Anko T amezidi jamani khaah!😂
 
Haha Toka Figo ampige tukio sumbai hataki kusikia Neno mbebe Tena jf. Mfute machozi ndugu yangu huyo.
😂😂😂😂😂
Hivi ikawajee kidney aliwaliza watu vilee?

Kuna app nawaliza wapumbavu hatarii, 😂😂😂😂
 
Na sauti lake lile
😂😂😂😂😂
Kwenye sauti ndo huwa nachoka, nasemaga alegeze hata kidogo, km ndo kapewa bezi ile.

Raha ya kuchamba sauti iwe laini, hata mchambwaji anaenjoy kusikiliza kichambo.
😂😂😂😂😂

Hamuonagi Noel akitaka kufoka, 😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂 Chinooo em niwachee, toka hapaa.
Dalali nani kwani unatumia!

Juzi kati mwanangu mmoja namwambia hii 20k Yako Kaa nayo achana na madalali uchwara Hawa hawatoi connection yeyote ukituma wanakulima block hakunisikiliza.
 
Dalali nani kwani unatumia!

Juzi kati mwanangu mmoja namwambia hii 20k Yako Kaa nayo achana na madalali uchwara Hawa hawatoi connection yeyote ukituma wanakulima block hakunisikiliza.
😂😂😂😂😂😂
Chino acha kuharibu ajira za watu, pumbaavu wee.
 
😂😂😂😂😂😂
Chino acha kuharibu ajira za watu, pumbaavu wee.
Wahuni nyie mna piga sana Hela za maboya!! Namko shapu kwenye kuiahamisha miamala sekunde nyingi.
 
Back
Top Bottom