sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Saint AnneMarahaba Wanaman
Hujambo mdogo wangu?
Saint AnneMarahaba Wanaman
Hujambo mdogo wangu?
Chino kafurahi sana kukuonaMarahaba Wanaman
Hujambo mdogo wangu?
Naam MkuuSaint Anne
Nimefurahi pia kukuonaChino kafurahi sana kukuona
NasubiriHahahhahaha camera ya simu siiwezi ngoja nijaribu tena🤣
Hapa natoa baraka zangu mkuuSaint Anne
😂😂😂Ashukuliwe Lamomy baada ya kutumia vifaa vitakatifu. Chino kapatikana. Ayayaya
Nasubiri picha yako ujueKaka lamo ni kubwa la maadui bila kula bia za kutosha ni kizungu mkuti bwashee
Naomba nile pombe kwanza nisije tuma vituko humu madam mzuri😊 kama kile 🤣Nasubiri picha yako ujue
Hebu tuma tu usijaliNaomba nile pombe kwanza nisije tuma vituko humu madam mzuri😊 kama kile 🤣
Nakutumia pm tuliaHebu tuma tu usijali
Walevi huwa tunavumiliana
Weka tu hapa kabla mtandao wangu haujapoteaNakutumia pm tulia
Hapa ni Arusha mjini? Pale kwenye round about ya Azimio la Arusha? 😳Weka tu hapa kabla mtandao wangu haujapotea
Ni Mbeya mjini
Mbeya na arusha zinafanana kimazingiza sema arusha pamejanjaruka zaidi🤔Ni Mbeya mjini
Uniki fulawa 😹Da Mau ndio Nani
Code ngumu saana.
Any way Mimi nyani mzee siogopi chaka.
Ana mkia wenye mafuta?? Rangi ya mtume??
Utalii unaibeba ArushaMbeya na arusha zinafanana kimazingiza sema arusha pamejanjaruka zaidi🤔
Min mbona unamtisha shem wako lakini 😹😹Kaka kisukari kikipanda usitulaumu🤣