Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mhmmmm hivi mtu akitaka kuwa babe wako anatakiwa awe mababe kiasi gani lamo? Unaonekana ngumi mkononi kinouma
😹😹😹 Kuniwin mimi inatakiwa ujipange kisawa sawa..!!

Kuna siku nilimkaribisha ex wangu home akajua namrudia, nilimwambia ukikaribia kufika nishtue akasema, sawa hamna shida..!!

Alivyokaribia akaniambia nipo kona ya kuingilia kwako nikasema sawa utafungua gate uingie niko kuoga..!!

Hapo kulikua na mbwa mpya nimemnunua sasa nilitaka nione ufanisi wake kwenye kukamata wezi nikamuachia 😹

Anaingia tu askari huyu kakamata miguu aliita mimi kimya…!! 🤣😹😹
 
😹😹😹 Kuniwin mimi inatakiwa ujipange kisawa sawa..!!

Kuna siku nilimkaribisha ex wangu home akajua namrudia, nilimwambia ukikaribia kufika nishtue akasema, sawa hamna shida..!!

Alivyokaribia akaniambia nipo kona ya kuingilia kwako nikasema sawa utafungua gate uingie niko kuoga..!!

Hapo kulikua na mbwa mpya nimemnunua sasa nilitaka nione ufanisi wake kwenye kukamata wezi nikamuachia 😹

Anaingia tu askari huyu kakamata miguu aliita mimi kimya…!! 🤣😹😹
Hahahahaha wewe utakuja kamatika tu 🤪
 
😹😹😹 Kuniwin mimi inatakiwa ujipange kisawa sawa..!!

Kuna siku nilimkaribisha ex wangu home akajua namrudia, nilimwambia ukikaribia kufika nishtue akasema, sawa hamna shida..!!

Alivyokaribia akaniambia nipo kona ya kuingilia kwako nikasema sawa utafungua gate uingie niko kuoga..!!

Hapo kulikua na mbwa mpya nimemnunua sasa nilitaka nione ufanisi wake kwenye kukamata wezi nikamuachia 😹

Anaingia tu askari huyu kakamata miguu aliita mimi kimya…!! 🤣😹😹
Sa itakuaje mchuchu hahaha
 
Dr. Mariposa nikuchekeshe 😹😹
Jana nilienda live band, sasa bana mizuka nikajikuta natunza napaishwa pale Le madame bosslady Lamomy..!!

Ghafla nikapata machawa, saa ngapi nisimtongoze demu mmoja 🤣🤣
Nikapiga na vitraco vyake akajua mi lesbian, acha anigande 🤣🤣

Nyie mipombe sio mizuri unaweza kufanya vitu vya ajabu halafu ukajuta 😹😹
Hahahahahaha huyo demu akataka akudangie akaona Lemadam linamihela,
Eenh, sasa ukamtokaje tokaje maana nawajua hao ruba
 
Back
Top Bottom