min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,436
- 127,781
Kuji edit na ku snap kumbe unaweza jiokotea babies eeeee🤣Tofauti bana, we yule wa mwaka jana alikua hot nusu nimuache Mangi wangu nijieke..!! 😹😹😹
Kuji edit na ku snap kumbe unaweza jiokotea babies eeeee🤣Tofauti bana, we yule wa mwaka jana alikua hot nusu nimuache Mangi wangu nijieke..!! 😹😹😹
Tupia drHahahahahaha huyo demu akataka akudangie akaona Lemadam linamihela,
Eenh, sasa ukamtokaje tokaje maana nawajua hao ruba
Nitupie nini tena jamanTupia dr
Kaka kisukari kikipanda usitulaumu🤣Sa itakuaje mchuchu hahaha
Kapicha nikuone mtoto wa kizenjiNitupie nini tena jaman
Imebidi nipite kwa sauti ya kicheko😆😂😂😂😂😹😹😹 Kuniwin mimi inatakiwa ujipange kisawa sawa..!!
Kuna siku nilimkaribisha ex wangu home akajua namrudia, nilimwambia ukikaribia kufika nishtue akasema, sawa hamna shida..!!
Alivyokaribia akaniambia nipo kona ya kuingilia kwako nikasema sawa utafungua gate uingie niko kuoga..!!
Hapo kulikua na mbwa mpya nimemnunua sasa nilitaka nione ufanisi wake kwenye kukamata wezi nikamuachia 😹
Anaingia tu askari huyu kakamata miguu aliita mimi kimya…!! 🤣😹😹
Kumbe unapita kwa siri🤣Imebidi nipite kwa sauti ya kicheko😆😂😂😂😂
Ila nkamu wewe ni chizi sana🤣🤣🤣🤣
Bhana we kaliniganda muda wote ananiletea nyash na mi nishawaka pombe kichwani acha nilipige wowowo lake..!!Hahahahahaha huyo demu akataka akudangie akaona Lemadam linamihela,
Eenh, sasa ukamtokaje tokaje maana nawajua hao ruba
Baada ya mods kunifungulia kambaLeo nikaona nipiteKumbe unapita kwa siri🤣
Mbona sioni pombe mlevi mwenzangu?Tuleni pombe wakuu, hapa nimetulia naperuzi jf nakuna vodka yangu pole pole😊View attachment 3419626
Yani wadada wanaokunywa pombe nawaelewa kinoumaBhana we kaliniganda muda wote ananiletea nyash na mi nishawaka pombe kichwani acha nilipige wowowo lake..!!
Nikamnunulia brutal basi akaona nijiweke hapa..!! Nikienda washroom kipo nyuma kinanisindikiza..!!
Na mi basi namtia had vidole..!! 😹
Kumbe wanaume wanafaidi kutushika mbwa hawa..!! 🤣
Nikaja kukitelekeza nje nilivyowasha gari nikasepa..!! Nikakiambia ntakucheck babe girl sawa? 😹
Ile sehemu siendi tena kuna mashetani pale..!
Kumbe upipigwa pin?Baada ya mods kunifungulia kamba
Pombe sio chai asee 🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe upipigwa pin?
Nkamu gwangu 😹😹😹Imebidi nipite kwa sauti ya kicheko😆😂😂😂😂
Ila nkamu wewe ni chizi sana🤣🤣🤣🤣
Unataka kuona?Mbona sioni pombe mlevi mwenzangu?
NdiyoUnataka kuona?
Kasheshe tukikutana live hapo lazima kutokee ugomvi..!! 😹Kuji edit na ku snap kumbe unaweza jiokotea babies eeeee🤣
Wewe ni muuaji Nkamu😁Nkamu gwangu 😹😹😹
Yule mkaka alisema hata km hunipendi sio kwa chuki hizi za kuniitia mbwa kusudi..!!
Nikamwambia no bana huyu mbwa mgeni hakufahamu pole..!! Mizuka yote ilimuisha 🤣
Toa huo ukungu Ndugu mlevi mwenzangu.Hahahaaha View attachment 3419640