T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 13,090
- 30,490
Nijulishe mapema ujio wakoNtakuja kuchukua viwalo sis .Mis you more kipenziii unazidi kinougaaa tuuu
Nijulishe mapema ujio wakoNtakuja kuchukua viwalo sis .Mis you more kipenziii unazidi kinougaaa tuuu
Wewe ndie shibela mbona avatar zinafanana? samahani lakini...Njoeni tusali novena View attachment 3416812
Mambo gani Tena yameshindikana huko mdogo wangu mpaka umemkumbuka MT Ritha🤓🤓🤓🤓🤓Njoeni tusali novena View attachment 3416812
Wanadamu ndio wameshindikana Mamie😂😂,.Mambo gani Tena yameshindikana huko mdogo wangu mpaka umemkumbuka MT Ritha🤓🤓🤓🤓🤓
Ukifika hatua ya kuwatoa mabusha nistue nikupe Namba😎😎😎😎Wanadamu ndio wameshindikana Mamie😂😂,.
Wacha niwasalie novena Kwanza nikiwa naendelea kutafuta mganga mzuri WA kuwashughulikia😂😂🤔
Hii inawezekana Kwa ukoo mzima??,. Yaani vijana wote WA ukoo wao iwapate hii😌😬Ukifika hatua ya kuwatoa mabusha nistue nikupe Namba😎😎😎😎
Mzee mwenzangu ,umeacha kula mihogo na magimbi umeanza kula vyakula vya watoto wa Dar es salaam ?
Nahisi Wajukuu wanataka nikose hata uwezo wa Kufunga goli moja hata nikibaki na Kipa 😜Mzee mwenzangu ,umeacha kula mihogo na magimbi umeanza kula vyakula vya watoto wa Dar es salaam ?
Wajukuu wanakupoteza hao
Sio ukoo mmoja tu Hadi na koo jirani na hiyo koo tunamaliza Kazi mapema😎😎😎😎😎Hii inawezekana Kwa ukoo mzima??,. Yaani vijana wote WA ukoo wao iwapate hii😌😬
Rudi shamba bwana ,chipsi waachie waoNahisi Wajukuu wanataka nikose hata uwezo wa Kufunga goli moja hata nikibaki na Kiba 😜
Wacha nirudi shamba tu 😅
Nahisi pia sijazoea aina hii ya vyakula, nimeshindwa kupata the real taste kabisaRudi shamba bwana ,chipsi waachie wao
Ambao mliselfika wakati sipo wote rudieni niwaone..!! 😹😹