Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 2,132
- 6,051
Pita kwanzaSio vizuri Mungu hapendi😃😃
Pita kwanzaSio vizuri Mungu hapendi😃😃
Mi mlinzi wa JF pharmacy niitoe wapi kiongozi? 😹😹kwanza matajiri wenzio washalala sijui wew unatafuta nini huku,,, au upo kwenye pharmacy yako ya 24hrs?
😹😹😹 Nimeacha sasa hivi mwaya..!!hizo jumbe za siku nyingi mmh mi simo maan dada etu akishakunywa juice ya limao alf wakamuudhi vinamtoka tu vimaneno
Niende wap??Pita kwanza
NikuoneNiende wap??
Pita kwa niaba na Rasi wa Min me apite😃😃Oya nipite?
Sawa usiku mwema Mkuu😃😃Tufanye kesho boss
I mean kukikucha
Mngojee Intelligent businessman anataka kupita 😃Sawa usiku mwema Mkuu
Na usingizi balaa, mwache apite tu mimi nalala zanguMngojee Intelligent businessman anataka kupita 😃
Sawaaa uwe na usiku mwema mkuuNa usingizi balaa, mwache apite tu mimi nalala zangu
Su, au nishachelewa tayari 😃
🤣🤣🤣Hebu nisanue basi sijalipata kiongozi, 🆔 ya zamani ipi jmnhizo jumbe za siku nyingi mmh mi simo maan dada etu akishakunywa juice ya limao alf wakamuudhi vinamtoka tu vimaneno
ngoj nimalizie kusafisha banda la kuku nitarudi kukwambia bi mzuri 🤗🤣🤣🤣Hebu nisanue basi sijalipata kiongozi, 🆔 ya zamani ipi jmn
😀 ndiyoSu, au nishachelewa tayari 😃
Na leo fursa ipo au ilikuwa ni onetime thing 😃😀 ndiyo
Hakuna 🚶🏼♀️Na leo fursa ipo au ilikuwa ni onetime thing 😃
Mwanampotevu Kapachino umepotea sana, za muda mrefu? Karibu tena JF. Angalau mzee wa Hall V sumbai huwa anachungulia chungulia, nimefurahi kukuona tena Chino.Kaka Yuko wapi Bantu Lady