Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Ewaaaa😃Namba tu umepata kiongozi..!! 😹😹
Ewaaaa😃Namba tu umepata kiongozi..!! 😹😹
Bado mkuu wameenda Adobe kwanza😃😃Naona amefika ila pic sijaiona au wenzangu mmepata huko? 😹
SI huku kwenye apartments zako BunyokwaVinane ndo wapi? 😹
Nizitoe wapi appartements mie naishi chumba kimoja cha giza..!! 😹SI huku kwenye apartments zako Bunyokwa
ukweli mtupu 🦅😂😹😹😹 Utapigwa
Lini ntafika nipaone.Nizitoe wapi appartements mie naishi chumba kimoja cha giza..!! 😹
😹😹😹 Napokea baraka hizo za kumiliki appartements🙏Lini ntafika nipaone.
😀😀😀 sawa🏃🏻🏃🏻🏃🏻
Buldozer anatufundisha anasema tamka TU.😹😹😹 Napokea baraka hizo za kumiliki apparemments 🙏
Haya yanamuhusu kijana wa Marry, shemeji unanisagia kunguni 😂Mwanaume anamwaga pesa kusifia waachie mashemeji wakwambie jamaa unapoa pazuri..!! 😹😹😹
Sasa yeye anapiga domo tu mia mbovu hana..!! Ila Tayana mdogoangu ana mkosi wa kupata wanaume choka mbaya sijui kwanini?? 🤣😹😹
Itabidi nikamuogeshe mto nzovwe 😹😹
Dah daslam mna afadhali, mimi huku nanjilinji ni kisanga na nusu.Nizitoe wapi appartements mie naishi chumba kimoja cha giza..!! 😹
Ingekua hivyo hata yeye asingekua anashinda na sabufa lake soko matola kuhubiri enzi hizo..!! 😹😹😹Buldozer anatufundisha anasema tamka TU.
then kirahisi
Ayayaya
Dah daslam mna afadhali, mimi huku nanjilinji ni kisanga na nusu.Nizitoe wapi appartements mie naishi chumba kimoja cha giza..!! 😹
Wewe na yeye wote tafuteni hela 😹Haya yanamuhusu kijana wa Marry, shemeji unanisagia kunguni 😂
😹😹😹 Mi naishi chumba cha giza kodi kwa mwezi elfu 15 na bado tunasumbuana na landlord 🤣Dah daslam mna afadhali, mimi huku nanjilinji ni kisanga na nusu.
hili pagale lime ezekwa kwa nyasi 🦅
Wewe Kila nikikuambia unipeleke huko unapoendaga unanikwepa.Ingekua hivyo hata yeye asingekua anashinda na sabufa lake soko matola kuhubiri enzi hizo..!! 😹😹😹
😍😍ukweli mtupu 🦅😂
Siwezi kusaliti chama changu cha majobless pro max kirahisi hivyo 😂Wewe na yeye wote tafuteni hela 😹
Mimi nime vamia pagale la udongo huku nanjilinji, hapa nalala kama msukule 🦅😹😹😹 Mi naishi chumba cha giza kodi kwa mwezi elfu 15 na bado tunasumbuana na landlord 🤣